DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuHuyo alikuwa analiwa mbususo tu mwambie aangali kilicho Bora zaidi kwake, fuatilia tabia na matendo ya wadogo zenu wakiwa chuo msivune mabua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuHuyo alikuwa analiwa mbususo tu mwambie aangali kilicho Bora zaidi kwake, fuatilia tabia na matendo ya wadogo zenu wakiwa chuo msivune mabua
Kwanini unamsingizia mdogo wako wakati muhusika ni wewe?Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
Ukute toto lina iphone 13 pumbavu kabisaHawa watoto watawaua wazazi.
Pole
Nashauri angeomba BBA, aombe Ruco au sauti mwanza, AEA SUA, au kozi za IFM hatojutaSawa mkuu
Asante MkuuNashauri angeomba BBA, aombe Ruco au sauti mwanza, AEA SUA, au kozi za IFM hatojuta
Natamani ningeshiriki kwenye cancelling na kumhoji vizuri nini kimejiri, naomba sana ukiweza wakifungua chuo tafuta classmates wake kama 6, 3girls na 3boys uulize tabia zake on and off campus social na academic uwe na ABC aibu ya kweli hutibu jeraha au tatizo.Asante Mkuu
Nashauri arudie ila mpe ushauri ajue anahitajika kufanya nini. Chuo hakuna masomo magumu tena hasa hiyo programu. Nimesoma na watu wachache kichwani ila walikuwa wanafaulu hivyo hivyo kwa kupambana. Tatua shida zake na mjue lifestyle yake chuo kama ilikuwa sahihi. Msiogope kufeli chuo kuna nafasi ya kurudia kuliko ngazi nyingine kablaDUCE na alikuwa anapiga BSED
KE
Asante mkuuNashauri arudie ila mpe ushauri ajue anahitajika kufanya nini. Chuo hakuna masomo magumu tena hasa hiyo programu. Nimesoma na watu wachache kichwani ila walikuwa wanafaulu hivyo hivyo kwa kupambana. Tatua shida zake na mjue lifestyle yake chuo kama ilikuwa sahihi. Msiogope kufeli chuo kuna nafasi ya kurudia kuliko ngazi nyingine kabla
Mpeleke saut watampokea tu au veta aanze cheti akishindwa mpe mtaji aingie kariakooKama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
Hii nimeipenda sana...sasa hao walimu wawe na utu kweli...ukute ulikuwa ww ndio lijeuri sasa.Hapao kwenya masomo 12 amepata sup masomo 6. Kipindi tupo chuo ilikua kama umepata disco unaangalua umefeli masomo mangapi kama ni 7 kati ya 12 unachangua masoma matatu a
Ambayo waalimu sio complicated unawafata unawaambia ukweli nime disco alafu unawaomba uende uka appeal masomo yao wakati wa kutudia kusahisha mitihani akupe tu Marks za kupass labda C baada ya hapo matokeo ya appeal yakitoka maka hawa waalimu wame kupitisha na toka kwenye disco mpama sup za kawaida. Unafanya sup unachomoa unaendelea mwaka mwingine
[emoji38][emoji38] kwelii eeUkute toto lina iphone 13 pumbavu kabisa
Bila shaka ali wasumbua sana ata wakat wa ku apply chuo akitaka aka lione jiji la daslam vizuri mwisho wa siku lime muona vzuriDUCE na alikuwa anapiga BSED
KE
Ngoja nimuulize GENTAMYCIME kuhusu sautiMpeleke saut watampokea tu au veta aanze cheti akishindwa mpe mtaji aingie kariakoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bsed ndio kozi Gani?DUCE na alikuwa anapiga BSED
KE
Bachelor of science in educationBsed ndio kozi Gani?
mtafutie kibag cha wauza ukwaju ... mbna biashar ya ukwaju inalipa sio lzm kusomaKama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
Mwaka wa1?Bachelor of science in education