Uchaguzi 2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

Uchaguzi 2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,707
Reaction score
11,365
Pombe Magufuli nakushauri usisahau kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania ya viwanda kama umeifanikisha, maana 2015 ulipigiwa kura na watu wengi kwa namna ulivyonadi sera zako, hasa iliyonivutia mimi mpaka nikakupa kura ni Tanzania kuigeuza nchi ya viwanda.

Sasa hivi sisikii ukinadi umeifanikisha vipi nchi yetu kuwa ya viwanda, kunaviwanda vipya vingapi, kama viwanda vipya vimeongezeka naamini navijana wengi watakuwa wameajiriwa huko, waeleze watanzania namna ulivyoigeuza nchi yetu kuwa ya viwanda. Maana kwa sasa tangu kampeni zianze sijasikia hata kwa bahati mbaya ukizungumzia unahitaji nchi ya viwanda.

Pia ningekushauri ujikite kwenye hoja mara nyingi, ueleze wananchi ni namna gani ndege 11 zilivyobadili uchumi wa mwananchi mmoja mmoja, Watanzania niwatu wakarimu na niwaelewa naamini watakuelewa ukiwambia nimamna gani umepunguzwa umasikini wao.

Mwisho tunahitaji Nchi ya Viwanda, Tanzania ya Magufuli tunahitaji nchi ya viwanda kwelikweli.
 
Huwezi ukajenga uchumi wa viwanda kwa itikadi za kijamaa na ujima.Unapozungumza viwanda unazungumza demokrasia unazungumzia diplomasia unazungumzia sekta binafsi,sasa Kama vyote vimekufa hivo viwanda haviwezi stawi.
 
Huwezi ukajenga uchumi wa viwanda kwa itikadi za kijamaa na ujima.Unapozungumza viwanda unazungumza demokrasia unazungumzia diplomasia unazungumzia sekta binafsi,sasa Kama vyote vimekufa hivo viwanda haviwezi stawi.
Mkuu Sasa tunaomba Pombe atueleze kama kafeli, tumpumzishe tuchague watu wanaoweza kutuongoza.
 
Mkuu kila mtu anaujinga mahala fulani, ccm 2015 walizunguka nchi nzima wakituahidi nchi ya viwanda iliyosheheni ajira rasmi zaidi ya Mil 1. Sasa hivi tunaomba mrejesho kama nchi ya viwanda imeshakamilika maana hatusikii akizungumzia kabisa.
Acha kuwa na akili zilizoganda. Ulifikiri kuwa nchi ya viwanda ndio serikali ijenge kiwanda kila kata. Hii ni sera endelevu ambapo wawekezaji wanaopewa kipaumbele na mazingira rafiki ili wajenge viwanda. Hapo zamani Tanesco walikuwa wanaagiza mita toka nje sasa hivi zinatengezwa hapa Tanzania. Huoni kuna mabadiliko?
 
Acha kuwa na akili zilizoganda. Ulifikiri kuwa nchi ya viwanda ndio serikali ijenge kiwanda kila kata. Hii ni sera endelevu ambapo wawekezaji wanaopewa kipaumbele na mazingira rafiki ili wajenge viwanda. Hapo zamani Tanesco walikuwa wanaagiza mita toka nje sasa hivi zinatengezwa hapa Tanzania. Huoni kuna mabadiliko?
Sasa mkuu sindio mgombea wetu POMBE atueleze alivyofanikisha hayo, namna alivyoweza kuunganisha viwanda na ajira. Au nijukumu lanani kuelezea hayo wakati wakampeni?
 
Hawezi kusema ladba aseme ndani ya mkutano wa chama.
 
Acha kuwa na akili zilizoganda. Ulifikiri kuwa nchi ya viwanda ndio serikali ijenge kiwanda kila kata. Hii ni sera endelevu ambapo wawekezaji wanaopewa kipaumbele na mazingira rafiki ili wajenge viwanda. Hapo zamani Tanesco walikuwa wanaagiza mita toka nje sasa hivi zinatengezwa hapa Tanzania. Huoni kuna mabadiliko?
Ndio anataka mgombea wake aseme kwenye kampeni!Amefanikishaje sera yake ya Tanzania ya viwanda?Maana hazungumzi kabisa!
 
Mkuu Sasa tunaomba Pombe atueleze kama kafeli, tumpumzishe tuchague watu wanaoweza kutuongoza.
Umeuliza jibu, ameproof failure 5 yrs anapambana na upinzani anapambana na Mbowe badala ya kupambana na umasikini we je ndo tulichomtuma hicho. Je, Mbowe ndio shida za Watz ndio viwanda? October akajiajiri mkataba wake umeisha.
 
Back
Top Bottom