RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #21
Maana 2016 kila mtu akikosea alikua anasema anamkwamisha kufikia nchi ya viwanda. Kwenye huu uchaguzi hazungumzii kabisa nchi ya viwanda alivyoifanikisha.Ndio anataka mgombea wake aseme kwenye kampeni!Amefanikishaje sera yake ya Tanzania ya viwanda?Maana hazungumzi kabisa!