Uchaguzi 2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

Uchaguzi 2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

Maisha halisi ya uzalishaji niyapi mkuu wakati sekta kuu yauzalishaji katika viwanda ni kilimo, nabajeti yakilimo kwa miaka minne iliyopita haijatekelezwa hata mwaka mmoja wa bajeti japo kwa asilimia 50.?.
Bajeti kutotekelezwa kwa asilimia 50 sio kigezo cha kilimo kutopewa kipaumbele.

Uzalishaji wa vitu mbalimbali, nguo, zana za kilimo na vitu vingi tu vinavyotengenezwa nchini.

Tubadili aina ya ufikiriaji wetu na kuwa watu chanya zaidi kuliko watu wa kuponda kila kitu.
 
Mh.. Kwani wewe mrembo umeishia la ngapi? Maana unaweza ukawa na smartphone kumbe mbumbumbu. Sera ni kitu endelevu, na ndio maana kuwa taifa la viwanda ni mpango mkakati wa kulifanya taifa lifikie uchumi wa kati 2025. Sio ishu ya miaka mitano tu. Pole sababu mnadanganywa na watsap group za pingapinga group.
Kwanza elimu niliyonayo haikusadii chochote, lengo la uchumi wakati ilikua ni atleast kila mwananchi awe na dola 3000 kwa mwaka(wastani), mwaka 2020 tumefikia $1080 kwa akili yako ndani yamiaka mitano iliyobaki unaona tutafikia lengo la wastani wa $3000 kwa mwaka kwa kila mwananchi?.
 
Mkuu Tafadhari naomba uwe muwazi nauweke ukada pembeni, maana angalau wewe naona una substance kidogo ukilinganisha na Lumumba wengine, naomba unieleze ndani yamiaka mitano yamtuku niwapi mkulima kanufaika na kilimo, wakati vitu kama Korosho,pamba,ufuta, dengu,mpunga,katani,mahindi,maharage,choroko, bei zake zimeanguka nawakulima kila siku wanalia.

Wakulima wamekuwa wakilia tangu tupate uhuru hawajaanza kulia leo tena awamu hii angalau imeonyesha ushirikiano kwao.

Usitumie maneno ya dharau kama Lumumba mimi nimekuheshimu sijatumia kejeli kwa kukuita wewe Ufipa.
 
Bajeti kutotekelezwa kwa asilimia 50 sio kigezo cha kilimo kutopewa kipaumbele.

Uzalishaji wa vitu mbalimbali, nguo, zana za kilimo na vitu vingi tu vinavyotengenezwa nchini.

Tubadili aina ya ufikiriaji wetu na kuwa watu chanya zaidi kuliko watu wa kuponda kila kitu.
Kipaumbele chochote cha nchi hutafsiliwa kulingana na utekelezaji wa Budget, ndio maana unaona muheshimiwa kajitahid katika miundombinu na usafirishaji kwa sababu budget yake inatekelezwa kwa zaidi ya asilimia 200. Unataka tutafsiri vipi vipaumbele bila kuangalia utekelezaji wa Budget katika eneo husika?.
 
Wakulima wamekuwa wakilia tangu tupate uhuru hawajaanza kulia leo tena awamu hii angalau imeonyesha ushirikiano kwao.

Usitumie maneno ya dharau kama Lumumba mimi nimekuheshimu sijatumia kejeli kwa kukuita wewe Ufipa.
Mkuu Lumumba sio dharau kama nimekudharau niuwie radhi, turudi katika mnakasha wetu
 
Kipaumbele chochote cha nchi hutafsiliwa kulingana na utekelezaji wa Budget, ndio maana unaona muheshimiwa kajitahid katika miundombinu na usafirishaji kwa sababu budget yake inatekelezwa kwa zaidi ya asilimia 200. Unataka tutafsiri vipi vipaumbele bila kuangalia utekelezaji wa Budget katika eneo husika?.
Zipo changamoto za kilimo za miaka na miaka. Masuala mengine ni ufisadi ukiokwamisha utekelezaji wa mipango.

Kulikuwa na uchafu mwingi katika sekta ya kilimo na umefanyiwa kazi hivyo mabadiliko halisi yatachukua muda kuonekana.
 
Mgombea ccm: Nyie watanzania kwann msizae... matiti mnayo.. waume mnao... wanawake wapo wengi wazuri... nyie zaeni, mi ntasomesha tu...

Wale wengine mkiwapa uraisi watachukua hela zetu wapeleke ulaya...


Sasa mtu kama huyu halafu unampa kura... si utakuwa mjinga.
 
Kwanza elimu niliyonayo haikusadii chochote, lengo la uchumi wakati ilikua ni atleast kila mwananchi awe na dola 3000 kwa mwaka(wastani), mwaka 2020 tumefikia $1080 kwa akili yako ndani yamiaka mitano iliyobaki unaona tutafikia lengo la wastani wa $3000 kwa mwaka kwa kila mwananchi?.
Kama tumeingia lower middle income economy mapema tutashindawa vipi hiyo upper. Maana tumevuka kabla ya muda.
Na kwa nini unarukaruka mara viwanda mara uchumi wa kati. Tulia na uwaambie wenzako viwanda vipo.
 

Attachments

  • Screenshot_20200904-092218.png
    Screenshot_20200904-092218.png
    66.5 KB · Views: 1
Pia ningekushauri ujikite kwenye hoja mara nyingi, ueleze wananchi ni namna gani ndege 11 zilivyobadili uchumi wa mwananchi mmoja mmoja
Hoja ya kitoto sana hii kwa mwanza hata asiyesoma aweza kukujibu

Au nenda tu airport Dar kaangalie abiria watoka mwanza wanavyoshuka na samaki wa mwanza
Ndege zimepaisha soko la samaki kanda ya ziwa

Mandege kibao hubeba samaki kwa ajili ya soko la ndani na la nje

Mwanza wavuvi na wauza samaki wanafaidi sana kwa uwepo wa ndege

Pili kodi zinazopatikana kutokana na mauzo ya tiketi ndizo hizo zinaenda somesha watoto elimu bure,kutoka mikopo kwa akiba mama na vijana na nk

Pia hizo kodi ndizo zinalipa mishahara ya wafanyakakazi wa serikali ambao hutumia Hiyo mishahara kutunza familia zao.Kila ununuapo tiketi ya ndege kuna kodi mle inayoenda kumlipa nduguyo aliyeko serikalini ambaye ukiwa hata na harusi hukuchangia kupitia mshahara aliolipwa kutokana na kodi iliyokusanywa kwa waliokata tiketi za ndege!!

Swali lako la kitoto sana
 
Kama tumeingia lower middle income economy mapema tutashindawa vipi hiyo upper. Maana tumevuka kabla ya muda.
Na kwa nini unarukaruka mara viwanda mara uchumi wa kati. Tulia na uwaambie wenzako viwanda vipo.
Wewe ndio umekuja na issue ya uchumi wakati ambao kimsingi haureflect maisha halisi na vipato vya watanzania.

Lengo niuchumi wakati wa wastan wa $3000 kwa mwaka kutoka 1995/2025 baada ya miaka 25 ndio tunafikia $1080 hata nusu yalengo haijafikiwa kisha unakuja kuzungumza habari za uchumi wakati.

Hivyo viwanda vimejengwa wapi?. Mimi nafanya kazi na viwanda vipivyokuwepo na viwanda vipya nashughuri zangu nikukagua baadhi ya operation za viwanda kiujumla mimi nimdau moja kwa moja waviwanda ,sasa unapookota taarifa fake zinazozungumzwa na mawaziri kumfurahisha mfalme nakushangaa.
 
Hoja ya kitoto sana hii kwa mwanza hata asiyesoma aweza kukujibu

Au nenda tu airport Dar kaangalie abiria watoka mwanza wanavyoshuka na samaki wa mwanza
Ndege zimepaisha soko la samaki kanda ziwa

Mandege kibao hubeba samaki kwa ajili ya soko la ndani na la nje

Mwanza wavuvi na wauza samaki wanafaidi sana kwa uwepo wa ndege

Pili kodi zinazopatikana kutokana na mauzo ya tiketi ndizo hizo zinaenda somesha watoto elimu bure,kutoka mikopo kwa akiba mama na vijana ya nk

Pia hizo kodi ndizo zinalipa mishahara ya wafanyakakazi wa serikali ambao hutumia Hiyo mishahara kutunza familia zao.Kila ununuapo tiketi ya ndege kuna kodi mle inayoenda kumlipa nduguyo aliyeko serikalini ambaye ukiwa hata na harusi hukuchangia kupitia mshahara aliolipwa kutokana na kodi iliyokusanywa kwa waliokata tiketi za ndege!!

Swali lako la kitoto sana
Naona umekwepa hoja ya viwanda , vipi hizo ndege tutambua vipi kama zinaendeshwa kwa faida ili hayo yote uliyoyaorodhesha hapo yawe namantiki.

Zinaendeshwa kwa faida au kwa hasara hizo ndege?.
 
Hivi naweza kukodi bombadia moja inipeleke mkoani. Niweke mafuta tu. Na posho kwa rubani?
 
Wewe ndio umekuja na issue ya uchumi wakati ambao kimsingi haureflect maisha halisi na vipato vya watanzania.

Lengo niuchumi wakati wa wastan wa $3000 kwa mwaka kutoka 1995/2025 baada ya miaka 25 ndio tunafikia $1080 hata nusu yalengo haijafikiwa kisha unakuja kuzungukza habari za uchumi wakati.

Hivyo viwanda vimejengwa wapi?. Mimi nafanya kazi na viwanda vipivyokuwepo na viwanda vipya nashughuri zangu nikukagua baadhi ya operation za viwanda kiujumla mimi nimdau moja kwa moja waviwanda ,sasa unapookota taarifa fake zinazozungumzwa na mawaziri kumfurahisha mfalme nakushangaa.
Nakula kona,kama takwimu za wizara ni uongo. Basi hakuna kiwanda hata kimoja kilichojengwa mdau.
 
Nakula kona,kama takwimu za wizara ni uongo. Basi hakuna kiwanda hata kimoja kilichojengwa mdau.
Usiamini kila unachosema, ingekua viwanda vyote hivyo vimejengwa inamaana watanzania wengi wahitimu wengi wangepata ajira huko nakutoa kelele zaukoseu wa ajira kwa kiasi fulani, makampuni au viwanda visingepunguza wafanyakazi kama viwanda vingekua vinajengwa kwa wingi. Ulizia tu hapo SBL temeke kwa nini wamepunguza wafanyakazi nawale Top management wengi wamepumzishwa .

Uliza kwa nini kwa nini baadhi yaviwanda vilivyoanzishwa huko Kibaha vimeacha uzalishaji na vingine kupunguza uzalishaji, uliza viwanda vya nondo mkuranga kwa nn vimekata uzalishalishaji kwa Zaid ya 50%.

Au nenda tu hapo MM STEEL uulize sasa hivi wanahali gani katika uzalishaji nondo.
 
Naona umekwepa hoja ya viwanda , vipi hizo ndege tutambua vipi kama zinaemdeshwa kwa faida ili hayo yote uliyoyaorodhesha hapo yawe namantiki.
Faida ya ndege ya serikali ya kwanza ni kuinua uchumi wa mahali chukulia mfano mdogo tuchulie imepata hasara ya milioni moja lakini wafanyabiashara wa samaki waliouzia abiria wa ndege wamepata faida ya million 40 na wakalipa TRA kodi ya Milioni 6 huwezi sema shirika linaendeshwa kwa hasara!! Sababu bila kuwepo hao wafanyabiashara wasingekuwepo na TRA wasingekusanya million 6 ya kodi.

Pili shirika la ndege kupima limepata faida kuangalia zaidi ni kiasi gani umekusanya kodi kupitia mauzo ya tiketi.Ndege za serikali ni kama ilivyo TRA .Ni chombo cha serikali cha kukusanya kodi kutoka kwa abiria kupitia Tiketi
 
Unaambiwa hivi "Uongo hauwezi shindana na Muda"
 
Usiamini kila unachosema, ingekua viwanda vyote hivyo vimejengwa inamaana watanzania wengi wahitimu wengi wangepata ajira huko nakutoa kelele zaukosefubwa ajira kwa kiasi fulani, makampuni au viwanda visingepunguza wafanyakazi kama viwanda vingekua vinajengwa kwa wingi. Ulizia tu hapo SBL temeke kwa nini wamepunguza wafanyakazi nawale Top management wengi wamepumzishwa .
Nikuamini wewe kama nani? Niache kuamini takwimu za serikali, mimi nina vijana ambao wanaweza kukuoa wewe na kukuzalisha. Wanafanya kazi Kibaha kuna viwanda kibao wachina wamevianzisha. Lakini sababu unaishi maisha ya ya mtandaoni endeleza huo ushabiki.
 
Faida ya ndege ya serikali ya kwanza ni kuinua uchumi wa mahali chukulia mfano mdogo tuchulie imepata hasara ya milioni moja lakini wafanyabiashara wa samaki waliouzia abiria wa ndege wamepata faida ya million 40 na wakalipa TRA kodi ya Milioni 6 huwezi sema shirika linaendeshwa kwa hasara!! Sababu bila kuwepo hao wafanyabiashara wasingekuwepo na TRA wasingekusanya million 6 ya kodi

Pili shirika la ndege kupima limepata faida kuangalia zaidi ni kiasi gani umekusanya kodi kupitia mauzo ya tiketi.Ndege za serikali ni kama ilivyo TRA .Ni chombo cha serikali cha kukusanya kodi kutoka kwa abiria kupitia Tiketi
Nimekuuliza ndege zinaendeshwa kwa faida au kwa hasara naona tu unazunguka. Mwisho wamwaka wakikaa wakafanya tathimini ya mwaka mzima wanakuta wamepata faida katika majumuisho yao?.
 
Back
Top Bottom