RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #41
Slogan ilikua "HAPA KAZI TU" lakini ndani yahapa kazi tu ndio palikuwepo Tz ya viwanda,madawa yakulevya na kadhalika, sasa mimi nimeanza kuulizia viwanda,nawewe unaweza ulizia unavyotaka mkuu.Hiyo ni kampeni slogan,ndio maana Ccm imefanya makubwa kwa kila sekta sio viwanda tu. Kwa hiyo acha kukariri. Kwani kusema Tanzania ya viwanda ndio kusema kilimo na madini hamshughuliki nayo?