Ushauri: Mgombea wa CCM aongezewe ulinzi!

Umenitoa hilo mdomoni a.k.a kidaka tonge, ushajiuliza mzee Makaidi alivyosepeshwa? huyu si aliingia mgogoro na wenzie Ukiwa? alafu ikawaje? nini kilifuata? we acha bwana, ameanza kuwatoa woote asiowapenda lakini kwa Magufuri ataisoma ..akae mbali make anaweza akajuuuuta
 

Uchochezi sio mzur
 

Mtafanya mengi ili kumchafua mwisho wa siku ukweli utajulikana. Mmeshaambiwa hazuiliki!!!!
 

FalaLao
 
Tulipaswa kuendelea kumlinda sana Mwamba J.P.M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…