fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
alikua hana michirizi kabsa ila baada ya kupaka ndo ikamtoka mkuuMichirizi inatoka ila kama kapaka siti akiwa na michirizi huyo kaisha aende hospital apate dawa za allergy kwanza. Kaaisha huyo. No more words
Picha pls, tuweze shauri uzuri.habari zenyu kwema ..? ebhna mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hata week 2
1 haijapta zikamtoa michirizi kidgo akaacha kabsa kupaka sasa ajabu inakua inamuwasha na inaongezeka kila anapokuna je kuna namna inaweza kusaidia ikaacha hata kumuwasha maana anapata tabu si mchezo msaada wenu kwa wabobezi msaada weny afanye nini ili tu isiwashe maana naskia michrz haitokag ikikupata imekupata
sijapga picha ila michirizi s unaifqhamu mkuu we nupe ushauri nn nifanye au wapi niende mkuuPicha pls, tuweze shauri uzuri.
Michirizi imemtokea sehemu gani ya mwiliraraa reree mbna unanipta tu nipe ata dondoo mbli 3 shmj yako anapata tabu
mapajani imepanda mpka kiunoni pamoja na kwenye maziwa mkuuMichirizi imemtokea sehemu gani ya mwili
ndyo hayo hayo mkuu hata sjui yanavoandikwaNi CT sio sitii
Embu mpige picha niione vizuri ili nitoe jibu la kuelewekamapajani imepanda mpka kiunoni pamoja na kwenye maziwa mkuu
Mpeleke hospital akwonane na Dermatologist kabla hali haijawa mbayaHabari zenyu kwema?
Bwana mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo, inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hajamaliza hata wiki 2.
Wiki moja haijapita zikamtoa michirizi kidogo akaacha kabisa kupaka, sasa ajabu inakua inamuwasha na inaongezeka kila anapokuna. Je, kuna namna inaweza kusaidia ikaacha hata kumuwasha maana anapata tabu si mchezo?
Msaada wenu kwa wabobezi afanye nini ili tu isiwashe maana naskia michrizi haitokag ikikupata imekupata.
sawa ngoja nitampga picha maana nakaa nae mbali mbali ila ntampga picha mkuu then nrakutmiaEmbu mpige picha niione vizuri ili nitoe jibu la kueleweka
sawa mkuu je ni hosptali gani naweza kumpeleka mkuu unayoifahamu ila sio za ghalama hyo maana hali yetu yenyew pangu pakavuMpeleke hospital akwonane na Dermatologist kabla hali haijawa mbaya
Na hii ndo dawa ya michirizi sasa aendelee kupaka ngozi ikiwa kavu ndo anawashwanilimnunulia haya mafuta yanamsaidia akipaka ayawashi ila asipopka tu inacharuka View attachment 3003394
yaani mfno sku tu asipopaka basi itamuwasha pia ila akipaka anakua yuko fresh tuNa hii ndo dawa ya michirizi sasa aendelee kupaka ngozi ikiwa kavu ndo anawashwa
Apate na Mafuta ya Maji mazito
Mm ni wakala wa vipodozi visio kua na kemikali, vya South Africa.Habari zenyu kwema?
Bwana mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo, inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hajamaliza hata wiki 2.
Wiki moja haijapita zikamtoa michirizi kidogo akaacha kabisa kupaka, sasa ajabu inakua inamuwasha na inaongezeka kila anapokuna. Je, kuna namna inaweza kusaidia ikaacha hata kumuwasha maana anapata tabu si mchezo?
Msaada wenu kwa wabobezi afanye nini ili tu isiwashe maana naskia michrizi haitokag ikikupata imekupata.