Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Nendeni Hospitali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuMichirizi inatoka ila kama kapaka siti akiwa na michirizi huyo kaisha aende hospital apate dawa za allergy kwanza. Kaaisha huyo. No more words
hosptali gani nzyr kwa magonjwa ya ngoziNendeni Hospitali.
Andika kwa kiinglish na wengine tueleweHabari zenyu kwema?
Bwana mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo, inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hajamaliza hata wiki 2.
Wiki moja haijapita zikamtoa michirizi kidogo akaacha kabisa kupaka, sasa ajabu inakua inamuwasha na inaongezeka kila anapokuna. Je, kuna namna inaweza kusaidia ikaacha hata kumuwasha maana anapata tabu si mchezo?
Msaada wenu kwa wabobezi afanye nini ili tu isiwashe maana naskia michrizi haitokag ikikupata imekupata.
😂 nkiamdika kiinglish wengine hamtoelewa nami nataka muelewe woteAndikwa kwa kiinglish na wengine tuelewe
Hapa madaktari wahuni wa JF lazima wakuombe picha.mapajani imepanda mpka kiunoni pamoja na kwenye maziwa mkuu
Acha ukichaa 🤓sawa ngoja nitampga picha maana nakaa nae mbali mbali ila ntampga picha mkuu then nrakutmia
kwann sasa mkuuAcha ukichaa 🤓
picha ntapga tu mkuu hamna namnaHapa madaktari wahuni wa JF lazima wakuombe picha.
Na kweli picha ina umuhimu katika hatua za kujaribu kung'amua tatizo.
TUNAOMBA PICHA TAFADHALI
Tuma picture inayojumuisha mapaja , kiono na maziwa ya mkeo tufanye diagnosis 🤓kwann sasa mkuu
Mr. Findibushoo, Can you write in English please?sijapga picha ila michirizi s unaifqhamu mkuu we nupe ushauri nn nifanye au wapi niende mkuu
English please, Mr. Findibushoo😂 nkiamdika kiinglish wengine hamtoelewa nami nataka muelewe wote
Mpe pole labda kapata allerg.....amuone Dr wa ngozi
sawa je ni hosptali gani yenye dokta wa ngozi mkuu unayoifahamu kwa hapa dsm kMpe pole labda kapata allerg.....amuone Dr wa ngozi
no english todayEnglish please, Mr. Findibushoo
dahTuma picture inayojumuisha mapaja , kiono na maziwa ya mkeo tufanye diagnosis 🤓
Mr. Findibushoo today we want English, pleaseno english today
thank youMr. Findibushoo today we want English, please
Pardon, come again say what?thank you