Muhimbili daktari wa uhakika ntakupm jina lake, clinic yake jtano....sawa je ni hosptali gani yenye dokta wa ngozi mkuu unayoifahamu kwa hapa dsm k
Weka picha tukushauri kitaalamuHabari zenyu kwema?
Bwana mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo, inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hajamaliza hata wiki 2.
Wiki moja haijapita zikamtoa michirizi kidogo akaacha kabisa kupaka, sasa ajabu inakua inamuwasha na inaongezeka kila anapokuna. Je, kuna namna inaweza kusaidia ikaacha hata kumuwasha maana anapata tabu si mchezo?
Msaada wenu kwa wabobezi afanye nini ili tu isiwashe maana naskia michrizi haitokag ikikupata imekupata.
CHEAP na BEI CHEE tofauti yake ni nin???!!!.....pia asitumie vipodozi ivyo cheap zipo set za vipodozi nzuri tu na bei chee
Nb:set sabuni, serum,shower gel,Lotion
Kuna mishirizi ya utamu but ikikua sana inakua matuta ndo mana nilionba picha prior íli nishaurimapajani imepanda mpka kiunoni pamoja na kwenye maziwa mkuu
hyo kuna sehemu imekua kama matuta hv japo ni kwa mbali sana yaan na s sehemu zote mkuu nlkua sijaelewa maana yako mkuuKuna mishirizi ya utamu but ikikua sana inakua matuta ndo mana nilionba picha prior íli nishauri
sawa mkuuMuhimbili daktari wa uhakika ntakupm jina lake, clinic yake jtano....
sawa ila samahan mkuu unaweza kunionesha picha ykeMchukulie vaseline body oil ya au body oil ya Palmers
Ila awe mvumilivu itaisha tu
Michirizi inahitaji uvumilivu sana kuisha
Akipaka hiyo oil itaacha kuwasha
Kama upo Instagram mcheck phoebe_cosmeticssawa ila samahan mkuu unaweza kunionesha picha yke
sawa mkuu ngoja niwachek hao0767 441 668 mcheck Phoebe Cosmetics wapo vizuri vipodozi vyao Og kutoka France USA na UK
Usithubutu kumdhalilisha mkeo sijui Mama watoto wako hawana lolote.picha sijapiga mkuu