mimi nilishawai kuchukua hela nssf bila ku resign zama za JK...
hawa waajiri wananyanyasa sana watu ndio maana wanawababua tu
hawa waajiri wananyanyasa sana watu ndio maana wanawababua tu
Kuna mdada alikopa milion 20 ofisini baada ya week toka kuipata akatimkia zake USA alishakua na process za kuondoka kimya kimya, akiwa huko akaandika barua ya kuresign ndani ya masaa 24 nilibaki nacheka tu watu wamechoka!!