Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Mkuu!
Ni kweli unashangaa kwanini hajakuambia lolote au umefanya maamuzi ya makusudi kuamua kushangaa!![emoji848]
Sio kawaida yake,
Kukiwa na sintofahamu na mumewe Mimi Ndo HUWA mtu wake wa kwanza kuniletea kesi
 
Kesi ndogo hiyo; akae na mkewe wamalizane, kuhusu mchepuko asijengewe nyumba ila ampe kiasi cha fedha huyo mchepuko akanunue mwenyewe anapojua.
Kukaa nae sio rahisi kiivyo Maana MKE mpk sahv hajasema chochote[emoji4]
 
Mwambie mlitaka kumfanyia suprise ko umefanya haraka kwenda yeye kumalizia huku mkiwa na tabasamu.wewe shemeji na unaharaka kimalizia kabla ujakabidhiwa mali yako
Ila Nadhan mpk yeye atuanze
 
Hahah
Mtani ukijengea nyumba mwanamke, oa kabisa awe mke wa pili au tatu au nne na kuendelea...

Sasa unapambana kujengea mtu nyumba ambaye anakuja kuwa mke wa mtu mwingine baadaye...shabash!!!
Mchepuko anauejengewa nyumba ninmke wa pili unofficial[emoji4]
 
Hii kesi ni balaa!
Inawezekana mchepuko na mke wa jamaa wakawa na Mawasiliano au Kuna mtu wa kati alichoma huo mmchongo! Kama mpaka kiasi kilichobaki amekijua na eneo lililipo amepajua na mwenye eneo amemjua hapo mtajibeba
We jamaa jitoe kabisa kwenye huo mgogoro jifanye hujui chochote isipokuwa ulienda kama shahidi na ulijua ni Mali ya familia hayo ya michepuko hayakuhusu hao mke na mume watamalizana wenyewe
 
Kumbe kuwa mchepuko hakuna tofauti na mke. Huduma kama zote
Michepuko wanaroga hao wanashinda sana kwa waganga kuna rafiki yangu ndo anafanya hayo mambo anasema wateja wake wengi ni wanawake walio kwenye ndoa wanawaroga madanga wasikimbie we chukulia tu mfano majizzo kudata kwa lulu sio akili za kawaida zile mtu katulizwa pale uanaume mateso tu,

Kazini unarongwa
Mke anakuroga
Mchepuko anakuroga
Ndugu wanakuroga ili usiwasahau

Mungu ndio wakutuokoa ndio maana tunakufa mapema.
 
Halafu wakati huo kuna bibi au babu yako mbwinde huko anaishi kwenye nyumba ya nyasi inavuja kinoma...
..ni upuuzi wa hali ya juu. Kuna wakati wanaume tunakuwa wajinga sana kwa maamuzi yasiyo na tija kwa future yetu na ya watoto wetu.
 
Nyumba ya thamani ya mil.24 ? Ni sehemu gani hiyo unaweza kujenga nyumba ya 25mil.
 
Kiwanja mliandika jina la nani? Tuanzie kwanza kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…