Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Jenga ghorofa uwape kila mtu chumba chake.Sasa mkwe kwa idadi hii ya micheps, tutajenga nyumba ngapi [emoji23]
Au basi inabidi tujenge mi apartments kama ya NHC...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenga ghorofa uwape kila mtu chumba chake.Sasa mkwe kwa idadi hii ya micheps, tutajenga nyumba ngapi [emoji23]
Au basi inabidi tujenge mi apartments kama ya NHC...
Kwa hiyo jamaa angu fala Mtani?Unachepuka hadi unajengea hawara nyumba, bure kabisaaaa
Kwa hiyo jamaa angu fala Mtani?
SIJAPEEENDAAH
Ndo maandaliziiiiiii, nna bonge la story siku nipigie nikupe umbea.Hahah
Mtani ukijengea nyumba mwanamke, oa kabisa awe mke wa pili au tatu au nne na kuendelea...
Sasa unapambana kujengea mtu nyumba ambaye anakuja kuwa mke wa mtu mwingine baadaye...shabash!!!
Mwambie mlitaka kumfanyia suprise ko umefanya haraka kwenda yeye kumalizia huku mkiwa na tabasamu.wewe shemeji na unaharaka kimalizia kabla ujakabidhiwa mali yakoWakuu
MDA SI mrefu nmetoka kupigiwa Simu na rafiki yangu mmoja wa karibu Sana Ni DOKTA hospital moja ya wahindi hapa mjini,Na anamiliki duka moja la dawa za binadamu kubwa Kiasi ambalo suka ilo mkewe ndo muuzaji na msimamizi mkuu wa kila mara. Sasa Jamaa kapigia akinipa taarifa nzito sana khs jambo moja.
Ni kwamba
kile kiwanja nilichosaini Kama shahidi wake kwa ajili ya manunuzi na kumjengea mchepuko wake nyumba tayar kaenda MKE wake na mil 2 cash pesa ilobaki ili kukimalizia kabisa.
Ni Hivi wakuu,
Katika harakati za hapa na pale, jamaa yangu uyu nilimshaur Bora amjengee TU mchepuko wake maana Kodi anakokaa anayomlipia kubwa Sana na inamuumiza (double ya nnayomlipia mchepuko wangu mimi).Jamaa kweli akakubali.
Kiwanja kimetafutwa kimepatikana na maafikiano yamefikiwa kilipiwe pesa mil. 8 cash ila iwe ni kwa installment 3 ndani ya miez 3 tu.
Yaani [emoji117]January tulipoenda wote kililipiwa mil 3 cash- Tukasainishana awamu ya kwanza tukaondoka.
[emoji117]February, - Jamaa akamuingizia TU mzee Ela mil.3 kwenye bank. Akanipa taarifa tu ila Hatukwenda kule saiti kusaini. Mzee akasema tutakuja kusainishana mwishoni kabisa tukimaliza biashara.
[emoji117]Jana anasema kapigiwa na mzee mwenye kiwanja kwamba mkataba uko tayar Mbona haji wakakabidhiane na viongozi wa serikali. Kila Siku anapiga kalenda.
Jamaa akajitetea mzee amvumilie kwanza mpk amalizane na TRA tar 30 March kwenye maswala ya Kodi ya mapato. Mzee akamjibu kwamba mbona ela iliyobaki tayar ishalipwa, ililetwa na mama (yaani mkewe).
Mzee Anasema Kuna mmama alimpigia akijitambulisha kwamba mme wake DOKTA flani kampa maelekezo pesa ilobaki mil.2 cash aje aimalizie, sasa wakutane wapi akabidhiwe?
Mzee kamjibu kwamba wakutane saiti maana Hakua mbali na pale. Akasema mama mwnyw alikuja na gari yake ile ile jamaa aliyokuja nayo siku ya mwanzo pale saiti kwake Akiwa Yuko na mtoto mdogo na binti mmoja kafunga nywele kwa juu kuja kumalizia Ela.
Na kuondoka zake kwamba mkataba watakuja jumapili ijayo.Jumapili imefika hawajaja Ndo ikabd ampigie jamaa. Sasa Jamaa akasema kwa maelezo yake akahisi labda mzee yule anamjaribu. Ila Kama ni gari Huenda iwe imetumika wikendi TU maana ndo humuachia mkewe apeleke Watoto wake kanisani, yeye ubaki nyumbani kupumzika.
Sasa Leo jion kaenda kumhoji binti wa kazi kama Kuna sehem yoyote alienda na mama ake, binti kweli kakiri Kuna mahali jumapili moja walienda na mama ake baada ya kutoka misa nje ya mji kidg.
Ila yeye alibaki kwenye gari mama akaenda kuongea na wazee flani, baadae mzee mmoja akawa anamsindikiza mpk kwny Gari wakasalimiana ila yeye akujua walienda kufanya Nini kule Maana mama akumwambia kilichompeleka mpk wanarudi.
Sasa Jamaa kachanganyikiwa apa kaniomba ushaur afanyeje kulimaliza hili.Nmemwambia nipe muda nitafakari Kwanza tunafanyaje.
Kiukweli
Mimi mwnyw hata Cha kumshaur sahii Ni kipi nmekosa.
Maana Kama kweli yule MAMA alijua nilikua shahidi tayar nishajijengea chuki kwamba nmehusika kwenye dhambi ya mmewe. Mimi na mmewe Ni wale wale.
Afu kibaya zaidi Mimi Ndo huwa msuluhishi wao kila Mara pale wanapogombana, shemej huja kushtakia kwangu Nawasuluhisha.
Sasa kwahili nashangaa shemej yangu hajaja kunambia chochote.
Yaan Shemej yangu uyu huwa ananiamini Sana kias kwamba ata jamaa akienda kwenye Mambo yake akimwambia TU kua Yuko namimi, mkewe anakua na amani KABISA mmewe Yuko sehem salama.
Kwenye ugomvi shemej anamshaur kila mara kufuata nyayo zangu jins nilivotulia na familia yangu bila mambo mengi ya michepuko michepuko.
Sasa
Nishaurini vema niweze kumshaur vizur uyu jamaa yangu ili kuokoa ndoa yake.
Pili nishaurini namuingia vipi uyu shemej yang Kama kweli akija kujua nmehusika kwny kile kiwanja kwenye dhambi ya mmewe. Napangua vipi mapigo.
NAWASILISHA[emoji120]
Ndo maandaliziiiiiii, nna bonge la story siku nipigie nikupe umbea.
Mkuu!Sasa kwahili nashangaa shemej yangu hajaja kunambia chochote.
Wife ajengewe Sanamu yake na title "Kiboko ya mwanaume Mchepukaji" 🤣Wife kalipia kiwanja cha mchepuko so wa assume tu kuwa hakuna kilichotokea wampe documaa shemeji yako. Ila kimsingi wote mshaonekana mafala tu.😅 Kaukeni hapo haina bobo!
ukikua utaacha utoto na maswali ya kitoto
Hahahaha wife kajiongeza kudadaekWife ajengewe Sanamu yake na title "Kiboko ya mwanaume Mchepukaji" 🤣
Jamaa awe makini sana na huyo mwanamke. She is waay too smart for his liking.Hahahaha wife kajiongeza kudadaek
Wazo zuri mkuuHiyo rahisi DeepPond, abadili matumizi ya hicho kiwanja kwa kujenga nyumba ya familia, alafu asiseme chochote mpaka mke amuulize, pia akiulizwa aseme litaka kufanya saprise ila kwavile alijua kabla ile source ya information iendelee kumpa taarifa, halafu anunue kiwanja kingine ila abadili mbinu, hati mpya ipewe jina la mtu mwingine.