Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Acha zako wewe,
ndoa yake iko hatarini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaurii mwamamke wakw ni smart sana so ukweli wote anaujua yani so kama jamaa ako anampenda mkeo bhasi avunge tu ageuze gia angani ionekane alikuwa anafanya siri ije kuwa Suprise ila MWANAMKE UKWELI WOTE ANAUJUA anamgeukaa tu na kumkazia si unajua mwanaume mwanaume.. ila kama anataka mambo yaende kombo Bhasi azingue kuwa hajui chochote kuhusu hilo jamboo japo yule mzee mwenye kiwanja alizingua sana kupokea hiyo helaaa toka kwa mtu asiemjua... Ugumu pia jamaa kurudishiwa hela itachukia muda labda kama.kiwanja kinajiuzaaa
 
Hakika,
Uwazi Ni muhimu chief[emoji4]

Tena Ni Bora uwe muwaz umuulize kuliko kuugulia maumivu yako mwnyw

Sent using Jamii Forums mobile app
True story kabisa.

Nilipata mchepuko mmoja ni single maza yani ilibaki kidogo nimlipie kodi ila nikasitaa mwisho wa siku akapangiwa na nani sijui ila hela zangu ndogondogo kala yani nikiomba mzigo ni chenga nyingi sanaaa... Nkajua hapa naliwa bure siku nkamkaushia kama week hivi siku nashangaa ananillia shida nikamwambia njoo lodge flani uchukue hiyo laki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akaanza kuruka eti ooho me najiheshimu shwain.
 
Dah nimejikuta nacheka ila ghafla nikahiisi aibu inayoenda kukupata ikabidi nifunue kidgo vitabu vya saikolojia ili nikutendee haki katika ushauri , sasa iko hivi kaa hivyo hivyo kimya kama hujui kitu japo rafiki yako ashakujuza ili uiharibu saikolojia ya shemeji yako ya kuwa je unajua lolote au hujui lolote mpaka yeye , mwenyewe alete hizo habari , hapo akileta hizo habari jibu ni kuwa ulijua anajua na pia ulidhani ni kiwanja chao sio cha mchepuko , then kaa pembeni.
 
True story kabisa.

Nilipata mchepuko mmoja ni single maza yani ilibaki kidogo nimlipie kodi ila nikasitaa mwisho wa siku akapangiwa na nani sijui ila hela zangu ndogondogo kala yani nikiomba mzigo ni chenga nyingi sanaaa... Nkajua hapa naliwa bure siku nkamkaushia kama week hivi siku nashangaa ananillia shida nikamwambia njoo lodge flani uchukue hiyo laki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akaanza kuruka eti ooho me najiheshimu shwain.
Ha ha ha ...ulifanya vema KABISA,
Alitaka akutumie ila yeye asitumike, hiyo haikubaliki KABISA[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimejikuta nacheka ila ghafla nikahiisi aibu inayoenda kukupata ikabidi nifunue kidgo vitabu vya saikolojia ili nikutendee haki katika ushauri , sasa iko hivi kaa hivyo hivyo kimya kama hujui kitu japo rafiki yako ashakujuza ili uiharibu saikolojia ya shemeji yako ya kuwa je unajua lolote au hujui lolote mpaka yeye , mwenyewe alete hizo habari , hapo akileta hizo habari jibu ni kuwa ulijua anajua na pia ulidhani ni kiwanja chao sio cha mchepuko , then kaa pembeni.
Mi mwnyw nahs hivyo mkuu,
Hapa ni kuvunga tuone mwelekeo wake ukoje na anataarifa zipi kabla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaurii mwamamke wakw ni smart sana so ukweli wote anaujua yani so kama jamaa ako anampenda mkeo bhasi avunge tu ageuze gia angani ionekane alikuwa anafanya siri ije kuwa Suprise ila MWANAMKE UKWELI WOTE ANAUJUA anamgeukaa tu na kumkazia si unajua mwanaume mwanaume.. ila kama anataka mambo yaende kombo Bhasi azingue kuwa hajui chochote kuhusu hilo jamboo japo yule mzee mwenye kiwanja alizingua sana kupokea hiyo helaaa toka kwa mtu asiemjua... Ugumu pia jamaa kurudishiwa hela itachukia muda labda kama.kiwanja kinajiuzaaa
Kurudisha Ela yote yule mzee Ni ngumu Sana maana najua washazitumia. Na mzee yule aliuzia shida ndo maana Ela Zenyewe kalipwa kwa mafungu.

Hapo nahs kiwanja kichukuliwe TU kiwe Cha familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwnyw nahs hivyo mkuu,
Hapa ni kuvunga tuone mwelekeo wake ukoje na anataarifa zipi kabla.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap hiyo ndiyo itakuwa salama yako na kuitunza heshima yako kwa shemeji yako ila pia kuua zaidi saikolojia ya shemeji yako, mwambie rafiki yako aende asaini ila kiwanja asimpe mchepuko kwanza lakini asimuulize mkewe chochote mpka aamue mwenyewe kulizungumzia , kwa asili ya mwanamke haichukui hata wiki ataongea tu
 
Ni nzuri kama unamke wa kipwani full kukupa mchezo enjoyable bila kelele kama hawa wanawake wa kibara. Wengine wake wasumbufu mtu unataka mchezo unapangiwa ratiba kama vile shirikisho la mpira.

Tunatafta michepuko sio kwa kuwa hatupendi uaminifu ila sababu inaboa kulazimisha sex na kugonga demu kama maiti hamna emotional connection during sex.

Wake wengi wana kero za uvivu wa kutoa penzi so unatafta sub tu anaekupa game kila saa unavyotaka wewe.
Hajawahi kuenjoy mahaba uyo,
Maandiko mengi Sana ya biblia yamemkaa, kila kizur anaona dhambi[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap hiyo ndiyo itakuwa salama yako na kuitunza heshima yako kwa shemeji yako ila pia kuua zaidi saikolojia ya shemeji yako, mwambie rafiki yako aende asaini ila kiwanja asimpe mchepuko kwanza lakini asimuulize mkewe chochote mpka aamue mwenyewe kulizungumzia , kwa asili ya mwanamke haichukui hata wiki ataongea tu
Hilo wazo lako nmelikubali,
Kwei kabisa jamaa akasaini akabidhiwe nyaraka aondoke zake.[emoji4][emoji106]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom