DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kwa nini wanawake wanakuwa hivyo? Historia inaonyesha wanawake wengi waliokuwa wakidate na waume za watu kama michepuko mara nyingi wengi wanaishia kutumika kwa starehe na kuondoka bila kitu,ndio maana michepuko inakuwa na mawengemawenge inajua anything can happen anytime.Ukija kwenye mahusiano kuchuna,
utaishia kutumika TU na kutelekezwa.
Mwanamke anaekupenda hata kumzingua kikatili utaona aibu mwnyw na nafs itakusuta, Ndo ile unakuta mtu kaamua kumuachia kill kitu karud kwa mkewe kiroho Safi.
Sasa Tatizo wanawake wanajua mwanamke ukishakua mchepuko hupaswi kumpenda mwanaume yule.
KITU ambacho sio sahii,
Maana Ni kweli wanaume tunachepuka kufata ngono, ila sio kwamba tukipendwa hatufurahii, hatuoni Wala hatupendi.
Na sisi wanaume tunamoyo,
Tunaruhusu kuwapenda zaidi pale tunapoona na sisi tunapendwa hata Kama tulikwenda pale kuhit&run.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauko sahii mkuuKuna wanaume wapumbavu sana hapa duniani.
Si ajabu mdogo wake au shangazi yake kule kijijini kamuomba laki Tano ya mtaji tena kwa mkopo lakini man kachomoa kasema hana pesa na maneno ya kejeli mengi.
Mpumbavu huyo mwache achapiwe.
Usione huyo binti kakaa kimya ni kwamba ameamua kugawa uroda bure.
Na mke wako huenda kataarifiwa kila kitu na sasa wanalipiza kisasi
Mwenyekiti wao katoa neno kasema eti mpaka uonekane umetulia ndio utaandikwa kwenye hati,sasa hapo usiombe uwe na kasura kamechangamka ,Hati huna!EeeeEe kumbe hawafai.
Mfyuuuu zao.
Bora tubaki na kitunguu maji kwa kweli.
Sasa kama wanaandika majina yao anawasiwasi wa nini mpaka kuleta hii thread?
Kwa haraka haraka nmemshaur awasiliane na Mchepuko wake ajue km kuna chochote kahajisiwa uko[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanawake mkiwa na dukuduku lenu hamsemi na wenzi wenu,Unajua kwa nini wanawake wanakuwa hivyo?
Historia inaonyesha wanawake wengi waliokuwa wakidate na waume za watu kama michepuko mara nyingi wengi wanaishia kutumika kwa starehe na kuondoka bila kitu,ndio maana michepuko inakuwa na mawengemawenge inajua anything can happen anytime.
Dada Mai wa Saloon ushauri wake ni kama kombora moja la Russia🤣🤣Tatizo wanawake mkiwa na dukuduku lenu hamsemi na wenzi wenu,
Mnaenda kutafta ushaur Uko saluni kwa mashoga wadangaji na walioshindikana.
Mkirudi kwny mahusiano,
Mnajikuta mshakua wa hovyo mpk mtu anaona uyu hafai kufanyiwa Mambo makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio sura,Mwenyekiti wao katoa neno kasema eti mpaka uonekane umetulia ndio utaandikwa kwenye hati,sasa hapo usiombe uwe na kasura kamechangamka ,Hati huna!
Hilo nalo linawezekana,Yaani mchepuko atakua alianza kutamba kwa rafiki ambae ni informer ya mke halali then informer kachoma picha, halafu mchepuko kwa hatua hiyo awekwe pembeni kwanza jamaa amalize msala kwenye familia ikitengemaa atajua cha kufanya na mchepuko wake
Mmh! Mbona unantisha Sasa?Mama kaupiga kama Putin
Ila mpunguze kulia lia hilo game limalize kama lilivyoanza.Maana hayo ndio matunda na Michepuko.
Pambaneni vizuri...baada ya muda tusije sikia kwa habari.
1.Amchoma mkewe kisa Wivu wa mapenzi
Hapa inawezekana mkewe akatafuta mtu wa kawaida sana na status zenu akapewa uwanja na usifanye lolote.
2.Aua Mme na Watoto kwa Sumu kisa Wivu wa Mapenzi.
Hapa ni tukio baada ya wewe kuleta Ugomvi ulipogundua kuwa Mkeo kagawa Kipochi Manyoya kwenye uwanja uliolipa m6.
Na mbali zaidi mgagombana akakueleza kuwa Watoto hao ni Jamaa aliyempa kiwanja.
Dunia lolote linatokea ni sekunde kadri zinavyosogea jipangeni na tukio.Akili za wamama.Muulizeni Adam..
Walizungumza nini na Nyoka pale Edeni na alijua yupo uso na pua kwa Mungu.
Mleta mada aanda maziko yajayo na uwajibike juu ya mwenzako.Anatafuna moto ndani ya Nyumba yake sasa na hakuelezi.
Kumjengea mchepuko mbona Jambo la Kawaida Sana mkuu?Wewe una misala mingi deile.
Hapa umemuambukiza rafiki yako pia mambo ya michepuko..
Btw hivi unaanzaje kumjengea mchepuko?
Nikiombwaa laki tu hanisikii tenaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mchepuko unamfanya kama mkeeTatizo la watu wanadhan Kumjengea Mchepuko Ni gharama Sana.
Bila kujua umesevu Kias gani kumjengea kutokana na kulipa Kodi mfulurizo ambazo huenda zingetosha kujenga nyumba ndogo ikakamilika kabisa kuishi.
Nitoe mfano:
Kuna Jamaa juz humu katoka kumlipa Mchepuko Kodi ya mil.4.8 kwa mwaka, na bado utaendelea kudaiwa.
Hii pesa ukiilipa miaka 5 sio Chini ya mil.24 ambayo ingetosha kabisa kujenga nyumba na ukaachana kabisa na kulipa kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kamaanisha Nini NuzulatiMtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba
Shida ni hela tu me kuna mzee alipata mafao akajengea mchepuko mwisho wa siku zimeisha akamfukuzaa kama mbwaaaa... Mwingine alimjengea akahama kwa mkewe wa ndoa kabisa akaanza kuishi na mchepuko so haya mambo yapo.Kumjengea mchepuko mbona Jambo la Kawaida Sana mkuu?
Wee ujaona wengi TU wakifanya hivyo?
[emoji117]Sio kila MDA utaenda na mtu wake lodge kufanya,
[emoji117]Sio kila MDA utaenda na mtu wako nyumba za Kupanga majiran wakasikie miguno yako,
[emoji117]Sio watu wote wanapenda kubadisha ovyo michepuko kila Mara, watu wanahitaji peace of mind na mtu anae eleweka ili kuweza kufocus na Mambo mengine ya kimaendeleo.
Hoja ni nyingi,
Ila suala la vipaumbele ndo linatutofautisha wanaume[emoji4][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app