Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Michepuko wanaroga hao wanashinda sana kwa waganga kuna rafiki yangu ndo anafanya hayo mambo anasema wateja wake wengi ni wanawake walio kwenye ndoa wanawaroga madanga wasikimbie we chukulia tu mfano majizzo kudata kwa lulu sio akili za kawaida zile mtu katulizwa pale uanaume mateso tu,

Kazini unarongwa
Mke anakuroga
Mchepuko anakuroga
Ndugu wanakuroga ili usiwasahau

Mungu ndio wakutuokoa ndio maana tunakufa mapema.
Hakika,tunawaombea lakin
 
Hii kesi ni balaa!
Inawezekana mchepuko na mke wa jamaa wakawa na Mawasiliano au Kuna mtu wa kati alichoma huo mmchongo! Kama mpaka kiasi kilichobaki amekijua na eneo lililipo amepajua na mwenye eneo amemjua hapo mtajibeba
We jamaa jitoe kabisa kwenye huo mgogoro jifanye hujui chochote isipokuwa ulienda kama shahidi na ulijua ni Mali ya familia hayo ya michepuko hayakuhusu hao mke na mume watamalizana wenyewe
Kabusa mkuu,
apa Nadhan Ni kupiga kimya niskikizie wamefkia wapi[emoji848]
 
Michepuko wanaroga hao wanashinda sana kwa waganga kuna rafiki yangu ndo anafanya hayo mambo anasema wateja wake wengi ni wanawake walio kwenye ndoa wanawaroga madanga wasikimbie we chukulia tu mfano majizzo kudata kwa lulu sio akili za kawaida zile mtu katulizwa pale uanaume mateso tu,

Kazini unarongwa
Mke anakuroga
Mchepuko anakuroga
Ndugu wanakuroga ili usiwasahau

Mungu ndio wakutuokoa ndio maana tunakufa mapema.
Kwakweli uko SAHII,
Wanaume tunarogwa Sana wallahi[emoji26]
 
Wakuu

MDA SI mrefu nmetoka kupigiwa Simu na rafiki yangu mmoja wa karibu Sana Ni DOKTA hospital moja ya wahindi hapa mjini,Na anamiliki duka moja la dawa za binadamu kubwa Kiasi ambalo suka ilo mkewe ndo muuzaji na msimamizi mkuu wa kila mara. Sasa Jamaa kapigia akinipa taarifa nzito sana khs jambo moja.

Ni kwamba
kile kiwanja nilichosaini Kama shahidi wake kwa ajili ya manunuzi na kumjengea mchepuko wake nyumba tayar kaenda MKE wake na mil 2 cash pesa ilobaki ili kukimalizia kabisa.

Ni Hivi wakuu,
Katika harakati za hapa na pale, jamaa yangu uyu nilimshaur Bora amjengee TU mchepuko wake maana Kodi anakokaa anayomlipia kubwa Sana na inamuumiza (double ya nnayomlipia mchepuko wangu mimi).Jamaa kweli akakubali.

Kiwanja kimetafutwa kimepatikana na maafikiano yamefikiwa kilipiwe pesa mil. 8 cash ila iwe ni kwa installment 3 ndani ya miez 3 tu.
Yaani [emoji117]January tulipoenda wote kililipiwa mil 3 cash- Tukasainishana awamu ya kwanza tukaondoka.

[emoji117]February, - Jamaa akamuingizia TU mzee Ela mil.3 kwenye bank. Akanipa taarifa tu ila Hatukwenda kule saiti kusaini. Mzee akasema tutakuja kusainishana mwishoni kabisa tukimaliza biashara.

[emoji117]Jana anasema kapigiwa na mzee mwenye kiwanja kwamba mkataba uko tayar Mbona haji wakakabidhiane na viongozi wa serikali. Kila Siku anapiga kalenda.

Jamaa akajitetea mzee amvumilie kwanza mpk amalizane na TRA tar 30 March kwenye maswala ya Kodi ya mapato. Mzee akamjibu kwamba mbona ela iliyobaki tayar ishalipwa, ililetwa na mama (yaani mkewe).

Mzee Anasema Kuna mmama alimpigia akijitambulisha kwamba mme wake DOKTA flani kampa maelekezo pesa ilobaki mil.2 cash aje aimalizie, sasa wakutane wapi akabidhiwe?

Mzee kamjibu kwamba wakutane saiti maana Hakua mbali na pale. Akasema mama mwnyw alikuja na gari yake ile ile jamaa aliyokuja nayo siku ya mwanzo pale saiti kwake Akiwa Yuko na mtoto mdogo na binti mmoja kafunga nywele kwa juu kuja kumalizia Ela.

Na kuondoka zake kwamba mkataba watakuja jumapili ijayo.Jumapili imefika hawajaja Ndo ikabd ampigie jamaa. Sasa Jamaa akasema kwa maelezo yake akahisi labda mzee yule anamjaribu. Ila Kama ni gari Huenda iwe imetumika wikendi TU maana ndo humuachia mkewe apeleke Watoto wake kanisani, yeye ubaki nyumbani kupumzika.

Sasa Leo jion kaenda kumhoji binti wa kazi kama Kuna sehem yoyote alienda na mama ake, binti kweli kakiri Kuna mahali jumapili moja walienda na mama ake baada ya kutoka misa nje ya mji kidg.

Ila yeye alibaki kwenye gari mama akaenda kuongea na wazee flani, baadae mzee mmoja akawa anamsindikiza mpk kwny Gari wakasalimiana ila yeye akujua walienda kufanya Nini kule Maana mama akumwambia kilichompeleka mpk wanarudi.

Sasa Jamaa kachanganyikiwa apa kaniomba ushaur afanyeje kulimaliza hili.Nmemwambia nipe muda nitafakari Kwanza tunafanyaje.

Kiukweli
Mimi mwnyw hata Cha kumshaur sahii Ni kipi nmekosa.

Maana Kama kweli yule MAMA alijua nilikua shahidi tayar nishajijengea chuki kwamba nmehusika kwenye dhambi ya mmewe. Mimi na mmewe Ni wale wale.

Afu kibaya zaidi Mimi Ndo huwa msuluhishi wao kila Mara pale wanapogombana, shemej huja kushtakia kwangu Nawasuluhisha.

Sasa kwahili nashangaa shemej yangu hajaja kunambia chochote.

Yaan Shemej yangu uyu huwa ananiamini Sana kias kwamba ata jamaa akienda kwenye Mambo yake akimwambia TU kua Yuko namimi, mkewe anakua na amani KABISA mmewe Yuko sehem salama.

Kwenye ugomvi shemej anamshaur kila mara kufuata nyayo zangu jins nilivotulia na familia yangu bila mambo mengi ya michepuko michepuko.

Sasa
Nishaurini vema niweze kumshaur vizur uyu jamaa yangu ili kuokoa ndoa yake.

Pili nishaurini namuingia vipi uyu shemej yang Kama kweli akija kujua nmehusika kwny kile kiwanja kwenye dhambi ya mmewe. Napangua vipi mapigo.

NAWASILISHA[emoji120]
Mlivyo mazuzu wewe na mwenzako, hamuogopi kusaliti wake zenu ila mnaogopa kujulikana tabia yenu mbovu ya usaliti.
 
Tabu zote za nini ndugu [emoji848]

Kiukweli nimechelewa sana kutoelewa raha ya uaminifu kwenye ndoa ya wawili tu(Me + Ke).

Hakuna mapepo/ulinzi wa uhakika kiroho.

Hakuna mawazo yasiyo na ulazima/hakuna kuzeeka kizembe.

Hakuna wasiwasi wa kujistukia hata simu yako ikiwa haina neno siri (miaka mitano bila ya neno siri).

Hakuna pasua kichwa kuhangaikia Ke mwingine na watoto wa nnje zaidi ya Ke halali wa ndoa yangu tu, familia ya nyumbani kwetu na mara 1 1 ukweni.

Uchumi umeimarika na kuhifadhiwa kwa zaidi ya 90%.

Kuaminiwa na Ke hata nikienda popote pale duniani na kukaa mbali naye hata kwa zaidi ya siku, mwezi, mwaka na kuendelea.

Baraka za Mungu ni nyingi sana hadi nashindwa kuzielezea hapa.

Wakuu kama hamuelewi maana halisi ya amani rohoni basi onjeni mfumo wa uaminifu katika ndoa ili mshuhudie raha ya kipekee sana [emoji847][emoji16]
Haya mambo yalivyokuwa magumu utakuta unapigiwa lakini hujui
 
Wakuu

MDA SI mrefu nmetoka kupigiwa Simu na rafiki yangu mmoja wa karibu Sana Ni DOKTA hospital moja ya wahindi hapa mjini,Na anamiliki duka moja la dawa za binadamu kubwa Kiasi ambalo suka ilo mkewe ndo muuzaji na msimamizi mkuu wa kila mara. Sasa Jamaa kapigia akinipa taarifa nzito sana khs jambo moja.

Ni kwamba
kile kiwanja nilichosaini Kama shahidi wake kwa ajili ya manunuzi na kumjengea mchepuko wake nyumba tayar kaenda MKE wake na mil 2 cash pesa ilobaki ili kukimalizia kabisa.

Ni Hivi wakuu,
Katika harakati za hapa na pale, jamaa yangu uyu nilimshaur Bora amjengee TU mchepuko wake maana Kodi anakokaa anayomlipia kubwa Sana na inamuumiza (double ya nnayomlipia mchepuko wangu mimi).Jamaa kweli akakubali.

Kiwanja kimetafutwa kimepatikana na maafikiano yamefikiwa kilipiwe pesa mil. 8 cash ila iwe ni kwa installment 3 ndani ya miez 3 tu.
Yaani [emoji117]January tulipoenda wote kililipiwa mil 3 cash- Tukasainishana awamu ya kwanza tukaondoka.

[emoji117]February, - Jamaa akamuingizia TU mzee Ela mil.3 kwenye bank. Akanipa taarifa tu ila Hatukwenda kule saiti kusaini. Mzee akasema tutakuja kusainishana mwishoni kabisa tukimaliza biashara.

[emoji117]Jana anasema kapigiwa na mzee mwenye kiwanja kwamba mkataba uko tayar Mbona haji wakakabidhiane na viongozi wa serikali. Kila Siku anapiga kalenda.

Jamaa akajitetea mzee amvumilie kwanza mpk amalizane na TRA tar 30 March kwenye maswala ya Kodi ya mapato. Mzee akamjibu kwamba mbona ela iliyobaki tayar ishalipwa, ililetwa na mama (yaani mkewe).

Mzee Anasema Kuna mmama alimpigia akijitambulisha kwamba mme wake DOKTA flani kampa maelekezo pesa ilobaki mil.2 cash aje aimalizie, sasa wakutane wapi akabidhiwe?

Mzee kamjibu kwamba wakutane saiti maana Hakua mbali na pale. Akasema mama mwnyw alikuja na gari yake ile ile jamaa aliyokuja nayo siku ya mwanzo pale saiti kwake Akiwa Yuko na mtoto mdogo na binti mmoja kafunga nywele kwa juu kuja kumalizia Ela.

Na kuondoka zake kwamba mkataba watakuja jumapili ijayo.Jumapili imefika hawajaja Ndo ikabd ampigie jamaa. Sasa Jamaa akasema kwa maelezo yake akahisi labda mzee yule anamjaribu. Ila Kama ni gari Huenda iwe imetumika wikendi TU maana ndo humuachia mkewe apeleke Watoto wake kanisani, yeye ubaki nyumbani kupumzika.

Sasa Leo jion kaenda kumhoji binti wa kazi kama Kuna sehem yoyote alienda na mama ake, binti kweli kakiri Kuna mahali jumapili moja walienda na mama ake baada ya kutoka misa nje ya mji kidg.

Ila yeye alibaki kwenye gari mama akaenda kuongea na wazee flani, baadae mzee mmoja akawa anamsindikiza mpk kwny Gari wakasalimiana ila yeye akujua walienda kufanya Nini kule Maana mama akumwambia kilichompeleka mpk wanarudi.

Sasa Jamaa kachanganyikiwa apa kaniomba ushaur afanyeje kulimaliza hili.Nmemwambia nipe muda nitafakari Kwanza tunafanyaje.

Kiukweli
Mimi mwnyw hata Cha kumshaur sahii Ni kipi nmekosa.

Maana Kama kweli yule MAMA alijua nilikua shahidi tayar nishajijengea chuki kwamba nmehusika kwenye dhambi ya mmewe. Mimi na mmewe Ni wale wale.

Afu kibaya zaidi Mimi Ndo huwa msuluhishi wao kila Mara pale wanapogombana, shemej huja kushtakia kwangu Nawasuluhisha.

Sasa kwahili nashangaa shemej yangu hajaja kunambia chochote.

Yaan Shemej yangu uyu huwa ananiamini Sana kias kwamba ata jamaa akienda kwenye Mambo yake akimwambia TU kua Yuko namimi, mkewe anakua na amani KABISA mmewe Yuko sehem salama.

Kwenye ugomvi shemej anamshaur kila mara kufuata nyayo zangu jins nilivotulia na familia yangu bila mambo mengi ya michepuko michepuko.

Sasa
Nishaurini vema niweze kumshaur vizur uyu jamaa yangu ili kuokoa ndoa yake.

Pili nishaurini namuingia vipi uyu shemej yang Kama kweli akija kujua nmehusika kwny kile kiwanja kwenye dhambi ya mmewe. Napangua vipi mapigo.

NAWASILISHA[emoji120]
Duh mke mafia sana ..Sasa haijulikani baada ya kumaliza deni sison ipi inafuta
 
Dah! Mwenyekiti hili ni bomu kabisa. Lakini hakijaharibika kitu maana sidhani kama huyo mzee anajua kua kiwanja ni cha mchepuko. Hapo kuruka kiunzi jamaa avunge aende akasaini makaratasi lakini kwa jina la mtoto wake, iwe kama kamnunulia mtoto.

Alaf apeleke document nyumbani. Wife lazma atauliza, hapo ndipo msela amwambie alikutana na kiwanja kama zali akaona anunue. Pia ajitetee kuwa hakusema kwa sabab aliona kuna mambo mengi waliopanga kufanya kama familia so this was unnecessary cost ya ghafla so akaona aishi nayo kibingwa.

Kwa wewe mwenyekiti inabidi uvunge tu mpaka shemeji aje mwenyewe, akija na siasa kwamba kiwanja ni cha mchepukk, ruka futi mia. Useme tu kua umeambiwa u co sign kama shahidi lakini huez kuhoji maana hayo ni mambo ya familia.

Mwisho wa siku kama huyo mams alihack sim ya jamaa so anajua kila kitu, everything nilichoandika ni wastage of battery life. Kimeumana nje ndani!

Mwanaume hakosei, anaghafilika!
Naomba cheo chako katika chama mkuu,
Kwa mwenyekiti kuuruka msala Ni easy kwake unless mke wa jamaa awe anajua madudu yenu yote.
Usiombe awe amehack[emoji1787][emoji31][emoji31][emoji30]
 
Back
Top Bottom