Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

Hakika,tunawaombea lakin
 
Kabusa mkuu,
apa Nadhan Ni kupiga kimya niskikizie wamefkia wapi[emoji848]
 
Kwakweli uko SAHII,
Wanaume tunarogwa Sana wallahi[emoji26]
 
Mlivyo mazuzu wewe na mwenzako, hamuogopi kusaliti wake zenu ila mnaogopa kujulikana tabia yenu mbovu ya usaliti.
 
Haya mambo yalivyokuwa magumu utakuta unapigiwa lakini hujui
 
Duh mke mafia sana ..Sasa haijulikani baada ya kumaliza deni sison ipi inafuta
 
Naomba cheo chako katika chama mkuu,
Kwa mwenyekiti kuuruka msala Ni easy kwake unless mke wa jamaa awe anajua madudu yenu yote.
Usiombe awe amehack[emoji1787][emoji31][emoji31][emoji30]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…