DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #61
Duh![emoji848]Wanaume kama hawa wanapatikana wapi jamani[emoji2356]
Kwann umesema hivyo?
Unewaona Washamba Sana au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh![emoji848]Wanaume kama hawa wanapatikana wapi jamani[emoji2356]
Sio kila mwanamke anadeserve kutafunwa na bodaboda chief[emoji4]Nasisitiza...wanaume mliozaliwa mikoani mna shida! Mnaendeshwa na kuhangaishwa na michepuko! Wakati bodaboda wanawatafuna bure
Sawa mkuuInategemea Ni Mchepuko Aina gani,
Mchepuko Permanent anahudumiwa vizur TU, tofaut na wale wa kupita
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse not, why would you think so??[emoji23]
Tatizo la watu wanadhan Kumjengea Mchepuko Ni gharama Sana.Bora kuwa mchepuko wa DeepPond
na crew yake kuliko kuwa mke wa kitunguu maji.
Boda boda hawa hawa au kuna wengine?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasisitiza...wanaume mliozaliwa mikoani mna shida! Mnaendeshwa na kuhangaishwa na michepuko! Wakati bodaboda wanawatafuna bure
😂😂Mchepuko hajazaa nae bado,
Hapa Ndo Tunafanya uchunguz imevuja vipi Hii issue?
MKE kapata wapi namba ya mzee?
MKE kajua wapi Kia's kilichobaki Ni mil 2?
MKE kapajua vipi saiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Ni KUOMBA mungu asiwe anajua background nzima na mhusika alonunuliwa asimjueMbona simple tu,Si anakomaa tu kilikuwa cha familia,nilitaka nimalize kabisa malipo ndi nikusuprise my wife wangu.....kama alisoma meseji jamaa atakuwa keshafuta anakomaa tena hajui chochote.
Uyo anadhan kutokumhudumia mwanamke kunaweza kua guarantee ya kutokuliwa na bodaboda.Boda boda hawa hawa au kuna wengine?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dokta Yuko very frustrated sahv,[emoji23][emoji23]
Hapo sasa..
Atakuwa anajua kila kitu, anawachora tuu!
Dalali wenu muaminifu?Kuna habari inafanana kabisa na hii japo imetofautina hapo kwenye mwanamke kulipa aliyeunguz picha ni dalali.Jamaa sidhan km Ni sms au WhatsApp.
Kuna mtu kachoma picha Zima Maana HAIWEZEKANI ile namba ya mzee wa kiwanja kaipata wapi?[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akimjua tu huyo mchepuko anaenda mkalisha chupaHapo Ni KUOMBA mungu asiwe anajua background nzima na mhusika alonunuliwa asimjue
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenipa wazo jingine,Dalali wenu muaminifu?Kuna habari inafanana kabisa na hii japo imetofautina hapo kwenye mwanamke kulipa aliyeunguz picha ni dalali.
Wambea sana,Umenipa wazo jingine,
Huenda Kuna namna dalali akahusika.
Hebu ngoja nimfahamishe jamaa amfatilie dalali wake
Sent using Jamii Forums mobile app
So trueUyo anadhan kutokumhudumia mwanamke kunaweza kua guarantee ya kutokuliwa na bodaboda.
Mi nimhakikishie TU kwamba mwanamke akiamuli kuliwa na yeyote Hakuna guarantee.
Hata mkewe alieko home akijirahisi hata waokota makopo wanamlala TU, achilia mbali bodaboda.
Ni suala la mwanamke Mwnyw kajithamini kiasi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
SAHII kabisa,Akimjua tu huyo mchepuko anaenda mkalisha chupa
Unless aamue kudeal na mumewe tu..
Jmn, mkiwa na makando kando si mtumie tu vitorch for mawasilano.Halafu yawe only straight forward conversations.
Hapo ukute mke alimhack
Inawezekana,Wambea sana,
Mnoooo.Wambea sana,