Pentamycin
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 210
- 281
Mimi nimeoa na naishi ya familia yangu, wote tumeajiriwa ila wife ndiye aliyenifuata mahali ninafanyia kazi. Tumegombana na huwa tunagombana mara Kwa mara shida kubwa mwenzangu Huwa anamatumizi makubwa kuzidi kipato chetu.
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?
Na mara nyingi nimekuwa nikimwelewesha anakuwa mbishi mpaka anakopa halafu mwisho wa siku mlipaji ni mimi, juzi aliniudhi nilikuwa na safari yangu nikiondoka home bila ya kumweleza napokwenda, ila kesho yake usiku nikawa nimerudi.
Sasa mwenzangu naona amefura anataka kuomba kuhama kmya kmya nibaki peke yangu, Wala haongei na mimi chochote tokea juzi, Sasa kwenye mazingira ya namna hii nifanyeje?