Ushauri: Mke wangu kaondoka usiku huu

Aisee...

🀣🀣🀣🀣
Umechangamsha jamvi kabla ya kulala.

🀣🀣🀣
Pole kila mtu na msalaba wake.......
 
Huna namba ya kiongozi wa mtaa? Fanya utoke ndani humo.

Hakikisha akirudi hapo asikukute, ukimkuta mrudishe nyumbani akapumzike akili ikae sawa.

Anakupima jeuri, kuna siku atatoka hapo usiku atakimbilia kwa njemba.


Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Anaenda kuchukua petrol huyo! Sali sara yako ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hiyo mahabusu nzuri unaenda kwenye fridge unachukua juice unakunywa unaingia jf kama kawa safi ila in short huyo si wa kufanya nae maisha anaweza akakuletea msala anytime, kukufungia ndani it means kachukua Uhuru wako
 
Tafuta namna ya kuwa salama usiku huu.

Kukipambazuka fanya tathmini ya kina juu ya historia na ukubwa wa tatizo Kisha tafuta Tina ya kudumu.

Angalizo: Kila wakati Usiishi maisha ya ndoa kwa kanuni ya "ukimwga mboga, Mimi namwaga ugali".


Kuhusu mawasiliano yako na huyo mdada, angalia "opportunity cost"
 
Nakubaliana na wewe hasa hapo kwenye "opportunity cost",mleta mada lazima achague kipi kwakwe ni muhimu.
 
Pole mwanaume wa dar. Akina mc pilipili.

Tatizo mnawapigia magoti na kuwabembeleza.

Amka katafute riziki siyo mwanamke.
 
Mrejesho nimeamka salalam ile usiku nilimpigia simu jirani yangu alipofika akakuta funguo ameitupa nje hivyo akanifingulia ila mpaka sasa ninavyoandika hajarudi na hapokei simu
Aah!basi kama upo salama mshukuru Mungu..kingine wala usimtafute au kumfuata kwakee...mkaushie tu cz yawezkana ashaona huwez kuish bila yeye...ukipiga kimya ataona kama huyo ambaye unachat nae utampandisha level na kuwa mke mkubwa kitu ambacho hatakubaliana nacho
 
Sema hiyo mahabusu nzuri unaenda kwenye fridge unachukua juice unakunywa unaingia jf kama kawa safi ila in short huyo si wa kufanya nae maisha anaweza akakuletea msala anytime, kukufungia ndani it means kachukua Uhuru wako
Uchukue juice si mpaka iwepo, kuna kufunua mfuniko wa ndoo na kuchota maji ya kunywa pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…