- Thread starter
- #81
Amenifungia ndani na kaondoka mpaka mchana huu hajaonekana na hapokei simu yeyote. Kila ninauemuomba ushauri anasema nitulie ataridi mwenyeweKunywa maji halafu urudie kusoma Tena Uzi upya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenifungia ndani na kaondoka mpaka mchana huu hajaonekana na hapokei simu yeyote. Kila ninauemuomba ushauri anasema nitulie ataridi mwenyeweKunywa maji halafu urudie kusoma Tena Uzi upya.
Tuliza presha mkeo niko nae huku buza kwa mama kibonge, anasema atakaa kwangu mpk jumapili ili hasira zake ziishe kabisa halafu jumatatu atarudi nyumbani, hivyo kua na amani mkeo yupo kwenye mikono salama.Amenifungia ndani na kaondoka mpaka mchana huu hajaonekana na hapokei simu yeyote. Kila ninauemuomba ushauri anasema nitulie ataridi mwenyewe
Kwani na yeye hawwz kutafuta mwanamke Mwingine akamkula vizuri? Wanawake ni wengi sana dunianiwatakwambia kama ameondoka mwenyewe muache usimfate… hapa wanakudanganya
kitendo cha kumuacha nq ma stress aliyonayo anapata mwanya wa eidha kuanza mahusiqno na mtu mwingine au kuliwa kimasihara
usisahau mwanamke akipata baharia akamkula vzr huwa haachi
na hili utakuwa umesababisha wewe
usikilize moyo wako, mke ni wa kwako na si wa jf
Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
HahahahaSimama hapo sebuleni juu ya meza jipige kifua mara 3 huku ukisema "mimi mi kenge"
Swali Kwanza: Una mda gani toka umuoe Mkuu? Uzoefu wako kwenye ndoa/kuishi na mwanamke unaonekana bado mchanga sana!Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Yani usijaribu kumfata Wala kumtafuta.....tena na hata kwao usipige sim.....sis wanawake Kuna muda hua tunapania kufanya kitu kwa kukomoa.....Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Amekimbilia huku kwangu mkuu. Nataka nimrudishe ila hataki kunielekeza vizuri nyumbani ni wapi ili nimlete.Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Wewe ondoka rudi baada ya mwaka,yani mwanaume unatishwa nyau unahahaKama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Kishaenda kwa basha lake, usikute yuko hapo hapo mtaani kwenu anakucheka tu unavyohaha.Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Kaenda kwa bodaboda hapo jiraniKama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.
Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.