Ushauri: Mke wangu kaondoka usiku huu

Ushauri: Mke wangu kaondoka usiku huu

USIJALI MKUU ATAKUWA KWENYE MIKONO SALAMA KWA MHUNI WA JIRANI HAPO KWAKO
 
Ni mara kwa mara tunagombana kwani kuna mtu nawasiliana nae kwenye simu anahisi namahusiano nae ingawa si kweli. Ila hii kutoka ni mara ya kwanza
1. Kama mnaugomvi wa mara kwa mara, basi hapo hakuna ndoa maana ndani hamna amani na mwisho mtaachana.

2. Kama anashika sim yako basi huyo ni mwanamke mpumbavu na ipo siku atakuharibia sehem.

3. Kama ni mara ya kwanza nduo anaondoka basi ujue hajaenda mbali na soon atarejea.

4. Kama mwanamke anakupiga ujue iposiku atakuvuta korodani ama atakumwagia maji ya moto ukiwa umelala.

Nimalizie kusema kwamba mke wako anaongozwa na hasira kuliko akili/hekma/bisara
 
Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.

Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.

Muulize Mama mkwe, wewe wa kiume au wa kike?
 
Akienda kwao usimfuate.
Taikon 12:1-24

Kuna watu wapuuzi Sana.
Unajiuliza hili dume au jike!

Akasome hapa


Kisha akasome na hapa pia

 
Mods mtuanzishie jukwaa la wanaume.

Watu wa kaliba ya kama mtoa maada tusiwahi kuwaona kwenye hilo jukwaa.
 
Ni mara kwa mara tunagombana kwani kuna mtu nawasiliana nae kwenye simu anahisi namahusiano nae ingawa si kweli. Ila hii kutoka ni mara ya kwanza
Kama mkeo hapendi hayo mawasiliono Yana umuhimu wowote kuendelea nayo?
 
Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.

Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Usishangae kaenda kuliwa kwa mtu aliyemkataa alifikir wewe anakukomoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na akirudi tu, utambembeleza kama mtoto mdogo ili ukae kati; ni wachache sana wenye maamuzi magumu
 
Kama mada inavyojieleza, tulikuwa na ugomvi usiku huu, akanipiga nilivyomrudishia ametoka na amefunga mlango na funguo kaondoka nayo hivyo hapa.

Nimechanganyikiwa sijui nianzie wapi kumtafuta. Naombeni ushauri niuchune tu mpaka asubuhi au nipigie simu ndugu zake kuwaeleza.
Toa kichwa gizani Anza kuita kwa sauti 😁😁.

Mimi akiondoka napiga simu kwao na Kwa marafiki zake kama sijampata baada ya siku 3 naripoti Polisi afu naendelea na maisha yangu.

Akipatikana natoa Tena taarifa afu tusijuane kila mtu Aishi kivyake,vitobo viko vingi Sana hapa Duniani,huko Ukraine na Ethiopia viko bwerere baada ya wanaume kufia vitani.
 
Ila tunatofautiana binafsi sijawahi na haitakaa itokee kulazimisha mahusiano uwe mke au mchepuko sijawahi.

Ukiona yamekushinda unasepa.
 
Huna namba ya kiongozi wa mtaa? Fanya utoke ndani humo.

Hakikisha akirudi hapo asikukute, ukimkuta mrudishe nyumbani akapumzike akili ikae sawa.

Anakupima jeuri, kuna siku atatoka hapo usiku atakimbilia kwa njemba.


Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Hili tunaweza wajasiri,lakini unakuta mtu anasema nampenda fulani kwa sababu anakata mauno unategemea anaweza fanya huu ushauri?

Mwingine analalamika kabisa kwamba eti atafanyaje,aisee kila mtu alivyozaliwa na kuumbwa,binafsi nauwezo mkubwa wa kutawala hisia za kipuuzi kama hizo so wanawake huwa hawanipi shida.
 
Uzi wa rickboy wa kula ki masikhara

Uongo_90%
Ukweli_2%
Kujipakulia minyama_90%
Kuona female ni dhaifu_90%
Kujazana ujinga 80%
Kuna kaukweli kwenye maelezo yako.
Mimi enzi za ujana wangu nilikuwa mzinzi kuliko hata neno uzinzi lenyewe,nilikuwa natembea mpaka na wanawake watatu kwa siku moja,hata sikuwa na hela sema nilikuwa na ushawishi tu kwa wanawake.
Kuvaa vizuri,kunukia vizuri,kunyoa vizuri na kuwa smart mdomoni zilikuwa ni silaha zangu.

Katika upitia uzi w Rickboy kuna visa mpaka huwa najiuliza mbona katika enzi zangu sikuwahi kupata wanawake katika mazingira haya[emoji848].Hata wale waliokuwa wanavutiwa na mimi hawakuwa wanajirajisi kiasi kile bali walikuwa na viashiria vyao tu.
 
Ni kawaida, mara nyingi wanawake hata wakikosea wao na ugomvumi ukapamba moto huwa wanapindua meza mwisho wa siku mwanaume ndie anaonekana mkorofi.
Huyo achana nae usihangaike sana, endelea na shughuli zako atarudi tu.
Niliwahi kua na ishu kama yako, nikahangaika sana kumtafuta na akarudi baada ya miez mitatu na nikampokea. Ila mpaka sasa siioni sababu ya mimi kumtafuta wakati sikumfukuza.
Nabaki najiuliza muda wote huo alikua "salama" maana ni kama amelala nje miezi mitatu
 
Aisee pole Sana ndugu...wataarifu ndugu zake kuwa ndugu yao hayupo,wewe ndo ulipewa dhamana ya kuishi naye akidhurika wewe ndiyo wa kwanza kuulizwa,Kama unajua moyo wako ni mlaini sana fanya juhudi za kumtafuta huku ukipanga ni namna gani utaweza kuondoa migongano ya Mara kwa Mara kwenye ndoa yako,ila Kama moyo wako ni mgumu kidogo na ni mtu usiyejali matokeo yyte yale, yani kitakachotokea ndo hicho hicho,basi nashauri usimtafute kabisa najua tu Kama hatorudi siku kadhaa na ndugu zake hawajui alipo basi Kuna asilimia kubwa huko alipo anashughulikiwa au yupo kwa marafiki zake,atarudi mwenyewe...ila binadamu tupo tofauti pia...
 
Back
Top Bottom