Ushauri: Mke wangu si muelewa, ni mbishi kupindukia

Ushauri: Mke wangu si muelewa, ni mbishi kupindukia

issac77

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,128
Reaction score
7,899
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe.

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.


1643002982862.png
 
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Daa mchunguze Ila Kuna kipindi nilikuwa nafundisha shule moja Ivi Sasa tukawa tunaishi kwenye Kota za shule na tulikuwa tuna tabia za kutembeleana walimu mahome baada ya vipindi , Sasa siku moja wakati vipindi vinaendelea Kuna syllabus ilikuwa kwa mwalimu mmoja Ivi ikabidi anielekeze nikaichukue alipoiweka na muda wa chakula Cha mchana umekaribia.

Sasa Mimi nikaenda mbio nikijua home kwake huyo teacher hayupo mtu kumbe bila kujua mke wake alikuwepo Sasa nikasukuma mlango bila hata ya hodi daa [emoji23][emoji23] yule mama alishtuka sijapata kuona kumbe Kuna vidawa alikuwa anavichanganya kwenye chakula Cha mmewe kwenye mboga aisee nilivoona nikajifanya sijaona kabisa na kusema shida yangu chap then nikasepa na kweli yule ticha alikuwa zobe Sana kwa mkewe yaani alishikwa hatari jamaa Hadi kuni alikuwa anaenda kuokota [emoji23][emoji23] mshahara anaubudget mke ,na mengine mengi ya ajabu

So huyo mke wako bila kupepesa macho anakuandalia bomu Cha kufanya na ww kula hotelini akikuuliza mbona huli chakula mwambie mbona na wew huli akisema amekula na ww mwambie pia mm nimekula fanya hivo wiki baadae atanyooka tu

[emoji23][emoji23][emoji23]usikute anakuwekea zile damu za siku zake ko yey anaona kinyaa kula(my opinion)
 
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Mpandishe hadhi!

Yaani mtafutie ka bimdogo, dawa ya mwanamke jeuri ni mwanamke mwenzie..
 
Kama huyo mkeo ana kazi yake ya uhakika au kipato chake cha uhakika basi hilo usishangae sana, ndivyo wanawake walioolewa na kuizoea ndoa walivyo. Ukichunguza sana utagundua karibu 90% ya wanawake waliopo kwenye ndoa na kama wana kazi+kipato+kuzaa/kuzoea ndoa wanakuwa hivyo.

Kama huwezi kumvumilia ni bora ukaachana naye au kumtafutia mchepuko wa nguvu (mzuri kupita yeye) ikiwa wewe ni mhuni fulani.
 
Siku hizi hakuna Alpha males aiseee....yaani kuna wanaume wanaopelekeshwa tu wanawake....Mwanaume unatakiwa uwe Jemedari kama kiongozi wa Jeshi ndani ya familia yako..Unatoa amri Moja tu na inatakiwa isikilizwe na itiiwe muda huohuo! Ikitokea mwanamke ameikaidi amri yako basi adhabu kali inafuata either arudi kwao,acheezee makofi au atafutiwe mbadala wake
 
Back
Top Bottom