Ushauri: Mke wangu si muelewa, ni mbishi kupindukia

Ushauri: Mke wangu si muelewa, ni mbishi kupindukia

Pole sana mkuu n mwanaume mwenzangu kwa yaliyokukuta,,kwanza tuambie kazini unatoka saa ngapi,,usikute n wenzie na sie unarud kazini saa 2 unapita kikaoni(bar) mpaka saa 4 au 5 hapo ntamtetea shemej etu,ila kama ni tofauti embu jaribu kuweka mtego siku moja shinda nyumban uangalie je atapika ale mwenyewe au atakushtua mle nae??

Alaf mwisho wa yote ndio maana wanaume tunashauriwa tuoe wapenz ambao n marafiki zetu,ukioa rafiki issue kama hii isingetokea.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kha! Yaani baba mwenye nyumba alazimishe nimsubiri kula? Au kula nae? Yaani iwe ni lazima? Hebu nifafanulie...
Hilo suala ni la kimahaba zaidi unakaa unaongea nae kimahaba atakuelewa. Ila pia sio uchelewe kurudi hlf utegemee nitakaa njaa nikusubiri. Utakuta nimekula nimeshiba na kama ni usiku umechelewa utakuta nakoroma.
Utafanya hivo kwa kutegemea mmekaa miaka mingap kwenye ndoa. Mtoa mada inaonyesha bado ana ugeni hivyo anahitaji kupetipetiwa kama kote.
After 10yrs atasahau kila kitu
 
Mwanamke sumu duniani hawa
1. Malaya
2. Mwenye kiburi
3. Mwizi
4. Mchoyo na mchonganishi.
5. Muongo
Sasa kama mkeo anatabia hizo bado unakaa nae na kuishi nae! Fukuza hivi mnawezaje kuwa na mke wa hovyo.
 
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe.

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.


Mvumilie.
 
Mwanamke sumu duniani hawa
1. Malaya
2. Mwenye kiburi
3. Mwizi
4. Mchoyo na mchonganishi.
5. Muongo
Sasa kama mkeo anatabia hizo bado unakaa nae na kuishi nae! Fukuza hivi mnawezaje kuwa na mke wa hovyo.
Namba 1 ulitakiwa uweke MSHIRIKINA na 2 iwe Mzinifu (Malaya).
 
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe.

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.


Muasisi wa nyumba ndogo aliona mbali sana baraka nyingi kwake
 
Inategemea wewe unarudi saa ngapi.

Pengine anashindwa kukusubiria, ila angetakiwa awe hapo mezani wakati wewe unakula akupe kampanyi hata kwa maongezi ya hapa na pale.

Mweleze unachotaka
 
Wanasema watafiti kuwa mwanamke akiwa anakumudu kitandani yaani akiwa fundi kitandani yaani ukiwa umuwezi anakupagawisha kitandani yaani anakupa vitu mpaka unakubali mwenyewe anakuwa anafanya vitu anavyotaka nyumbani yaani anakupelekesha.. cha kufanya tafuta mbinu ya kufanya kitandani ikiwezekana kama unampiga mapigo ya kawaida mbadilishie style au mpige mapigo ya kikahaba kabsa yaale yaani kama una lala na (Malay) yaani mchanganyie mafaili miksa kama unakosea unapitisha kwengine yaani na vibao full kumfinya finya.. mkuu kama ujaelewa sijui nikuelezee vipi.. yaani mpindue pindue mpaka nje huko wahisi mnagombana.. alaf utakuja kunambia kama anaendelea na tabia hizo
 
Utafanya hivo kwa kutegemea mmekaa miaka mingap kwenye ndoa. Mtoa mada inaonyesha bado ana ugeni hivyo anahitaji kupetipetiwa kama kote.
After 10yrs atasahau kila kitu
Kama unarudi mida inayoeleweka utasubiriwa. Urudi kuanzia saa 4 hadi saa 8 na wakati mwingine asubuhi huwezi kusubiriwa itakuwa unamuonea mwenzio.
 
Mtafune makofi huyo aaaalaah[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe.

Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'

Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.


Sasa mkuu unataka akusubiri hata ukicheleea akusubiri ashinde na njaa? Na kama kashiba kwanini unamlazimisha ale? Sijaona mantiki kwenye malalamiko haya
 
Back
Top Bottom