Eti jirani msumbufu,ila ni kweli mkuu wengi hufanya hivyo.Unadhani bado upo honeymoon!? Ushaingia dimban mkuu ngoja uisome namba.Hizo mambo tunafanya sana tunapoisaka ndoa tukishaingia unageuka jirani msumbufuπ
kwa hiyo asile akusubiri???Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Ila bado inapaswa kujua huyo.mwanaume anarudi saa ngapi nyumbani????????Unadhani bado upo honeymoon!? Ushaingia dimban mkuu ngoja uisome namba.Hizo mambo tunafanya sana tunapoisaka ndoa tukishaingia unageuka jirani msumbufuπ
Kha! Yaani baba mwenye nyumba alazimishe nimsubiri kula? Au kula nae? Yaani iwe ni lazima? Hebu nifafanulie...Mimi naona hili jukwaa la MMU linawalemaza akili wanaume(sorry for shooting you on the head).
Mbona ni jambo tu la kuongea na kutoa maamuzi kama baba wa nyumba!π€View attachment 2093254
Wewe jamaa jiongeze anakua anataka umule kwanza yeye ndio mule wote chakula,au nipe no,yake ni mpe ushauri.Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Wakati unaoa huo mtambo ulitushirikisha?Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Mwanamke akiwa mpumbavu ukibishana nae mnakuwa wapumbavu mara 2Mkuu unadhani ni sawa?
Hahahahahahah jirani mwenye kero zake yaniUnadhani bado upo honeymoon!? Ushaingia dimban mkuu ngoja uisome namba.Hizo mambo tunafanya sana tunapoisaka ndoa tukishaingia unageuka jirani msumbufuπ
Sasa hukumstua mwenzio ukaacha ateketee sio vizuri bana!Daa mchunguze Ila Kuna kipindi nilikuwa nafundisha shule moja Ivi Sasa tukawa tunaishi kwenye Kota za shule na tulikuwa tuna tabia za kutembeleana walimu mahome baada ya vipindi , Sasa siku moja wakati vipindi vinaendelea Kuna syllabus ilikuwa kwa mwalimu mmoja Ivi ikabidi anielekeze nikaichukue alipoiweka na muda wa chakula Cha mchana umekaribia ,Sasa Mimi nikaenda mbio nikijua home kwake huyo teacher hayupo mtu kumbe bila kujua mke wake alikuwepo Sasa nikasukuma mlango bila hata ya hodi daa [emoji23][emoji23] yule mama alishtuka sijapata kuona kumbe Kuna vidawa alikuwa anavichanganya kwenye chakula Cha mmewe kwenye mboga aisee nilivoona nikajifanya sijaona kabisa na kusema shida yangu chap then nikasepa na kweli yule ticha alikuwa zobe Sana kwa mkewe yaani alishikwa hatari jamaa Hadi kuni alikuwa anaenda kuokota [emoji23][emoji23] mshahara anaubudget mke ,na mengine mengi ya ajabu
So huyo mke wako bila kupepesa macho anakuandalia bomu Cha kufanya na ww kula hotelini akikuuliza mbona huli chakula mwambie mbona na wew huli akisema amekula na ww mwambie pia mm nimekula fanya hivo wiki baadae atanyooka tu
[emoji23][emoji23][emoji23]usikute anakuwekea zile damu za siku zake ko yey anaona kinyaa kula(my opinion)
π π π π π π mlango unaachaga wazi auKha! Yaani baba mwenye nyumba alazimishe nimsubiri kula? Au kula nae? Yaani iwe ni lazima? Hebu nifafanulie...
Hilo suala ni la kimahaba zaidi unakaa unaongea nae kimahaba atakuelewa. Ila pia sio uchelewe kurudi hlf utegemee nitakaa njaa nikusubiri. Utakuta nimekula nimeshiba na kama ni usiku umechelewa utakuta nakoroma.
Mkuu unadhani ni sawa?
Hivi wanaume mmekuwaje kuwaje [emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Ndio vichwa vya familia hivi[emoji24][emoji24][emoji24]