The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu kwa style hiyo ata acha wangapi nakuoa wangapi? coz hakuna binadamu aliyekamilika,hata huyo atakaye muoa nae atamkuta ana matatizo yake pia,kuna vitu mtu hutakiwi kuvichukulia serious,yeye anatakiwa amuignore tu,kula chakula peke yako kama vile hakuna kilicho tokea,wanawake sometimes hua wanaanzisha tu visababu but hutakiwi kumpa chance.Achana nae oa mwengine
Umemtengeneza hivyo!! Anyway ningekuwa mimi wewe, ningeangalia umuhimu wa kula nae pamoja kwanza.Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
umeua broSiku hizi hakuna Alpha males aiseee....yaani kuna wanaume wanaopelekeshwa tu wanawake....Mwanaume unatakiwa uwe Jemedari kama kiongozi wa Jeshi ndani ya familia yako..Unatoa amri Moja tu na inatakiwa isikilizwe na itiiwe muda huohuo! Ikitokea mwanamke ameikaidi amri yako basi adhabu kali inafuata either arudi kwao,acheezee makofi au atafutiwe mbadala wake
Mfano anakitabia cha kupika na kula kivyake, nikirudi toka mihangaikoni yeye anapakua na kubwaga mezani na kudai hali ameshiba yani nile mwenyewe
Ukimwambia sogea japo unisindikize kidogo msimamo wake unakuwa ule ule 'sili sijisikii'
Wakuu nifanyeje? Nimeshasema sana kuhusu tabia hii lakini hasikii.
Hizi ni theory za vitabuni tofauti na maisha halisia ya uswahilini...amini mpaka ukishakuja kujua tabia za mkeo tayari utakuwa ndondocha,ushalishwa sana madawa ya kienyeji na uchawi na pengine hata shughuli zako za kutafuta kipato zishaharibika...kwann asile pamoja na wewe kile anachokupikia?Mkeo anatakiwa aelewe tabia zako, na wewe unapaswa kuelewa tabia zake, itakuwa ngumu sisi kujudge jambo kwa kusikiza upande mmoja tu...
Mke kwa mume ni rafiki kama ilivyo mume kwa mke, hivyo kuna mambo huwa yanapaswa yaende kwa kuelewana kama unavyoelewana na rafiki zako...
Mke si mtumwa wa mume bali ni msaidizi tu, na pia ni mtu mwenye nafsi yake, anapokuwa down ni kama tu wewe unavyokuwa down, asipopenda kitu fulani ni kama wewe tu usivyopenda kitu fulani...
Mwisho siku nyingine uwe unatoka naye out kwenda kula restaurants, hotel n.k, kama kunguru tu huwa anabadili jalala si zaidi ninyi lovebirds?
Mke anapaswa kumuheshimu mume wakw. Sasa huyo inaonekana kazi ya kiwa mke imemshinda so unaweka ndani wa niniMkuu unadhani ni sawa?
Nafunga. Atafunguliwa muda akirudiπ π π π π π mlango unaachaga wazi au
Nilijua unautegesha tu unastukia unapapaswa mbunye tuNafunga. Atafunguliwa muda akirudi
Baba ukitumia nguvu nyingi sana ili uheshimiwe, mwisho utakuwa unaektiwa tu, tumia zaidi akili na nguvu kidogo utaona familia yako inavyokuheshimu na kukusikiliza kwa heshima zote za ubaba!! Matumizi ya nguvu ni hatari sana!!Siku hizi hakuna Alpha males aiseee....yaani kuna wanaume wanaopelekeshwa tu wanawake....Mwanaume unatakiwa uwe Jemedari kama kiongozi wa Jeshi ndani ya familia yako..Unatoa amri Moja tu na inatakiwa isikilizwe na itiiwe muda huohuo! Ikitokea mwanamke ameikaidi amri yako basi adhabu kali inafuata either arudi kwao,acheezee makofi au atafutiwe mbadala wake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Una mke mzuri sana! Sisi tunakwepa kula nao
[emoji16][emoji16][emoji16]Huo ndio wakati wa kuja na ma take away ya maana. Ma baga na mazaga sana. Akisogeza mikono lamba mpaka vidole vyake. We muachie hela ya dagaa tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Nilijua unautegesha tu unastukia unapapaswa mbunye tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Weka ushauri basi, muokoe mwamba [emoji23]
Au unasemaje?[emoji16][emoji16][emoji16]
Mara kaingia jambaziNilijua unautegesha tu unastukia unapapaswa mbunye tu