Akili hizo ulizonazo Ni zako wewe,Sisi ni binaadamu na wala sio mbuzi ama kuku kwamba nyege zikitupanda hapo hapo tunapandwa na yeyote.
Alishindwa kuongea na mwenzie kwa utaratibu na kumwambia shida yake?
Miaka 3 yote uishie kupigwa miti ovyo kisa nini?
Sisi ni binaadamu na wala sio mbuzi ama kuku kwamba nyege zikitupanda hapo hapo tunapandwa na yeyote.
Alishindwa kuongea na mwenzie kwa utaratibu na kumwambia shida yake?
Miaka 3 yote uishie kupigwa miti ovyo kisa nini?
Hii naona ipo kwa wanaawake wengi hawapo straight..hasa akiwa anakupendaNdivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
Tiara kweli ww baraka zake za nini wee ni mwanaume kweli kiazi kabisa unangojea ruhusa ya mtu kupambania maisha yako mouuzi mmoja wwHuyu ndo yule mwanamke aliye kua hataki kukuruhusu kwenda mkoa mwingine?
Kama ndiye basi jua hukua na baraka zake katika hiyo safari na ndio maana wenda mambo hayajaenda sawa.
Kuhusu text yake mkuu, tuliza kichwa mpigie simu mueleze yote ya muhimu anayofaa kuyajua na jiandae kwa both action reaction kutoka kwake.
Kama Hana ela anakuja vp na akifika ataishije mnachukulia rahisi kila kituHakuna cha kukufanya ufe apo labda tu kama una kiherehere cha kutaka kufa, kakutext anatamani kusafiri ila hana pa kwenda! Alimaanisha wewe umruhusu aje huko ulipo badala yake we ukajibu mafyongoo[emoji57]
Mmoja akifa kwisha habari yake..Bora tu tungekuwa tunazaliwa wawili wawili kama ndege.
Jibu alilotoa alitakiwa ajiongeze kwani mi nimemwamrisha lazima uyo mpenzi wake aende??Kama Hana ela anakuja vp na akifika ataishije mnachukulia rahisi kila kitu
Very sad.Hehehehe mkuu kuna binadamu kama mbuzi... Wao wakisikia tu lazima wapandwe...
Shukuru wewe haupo hvo,,, wapo wenzako
Niamini mm..
😅 Anamajibu mazuri sana...Haina haja Ya Knambia Ha2a Ulofikia Me Nimesha Jua Tiyal Me Kuku Uliza Nataman Kusafil Ulivo Nijib2 Nikajua Kabsa Ww Huko Uliko Haujawa Tiyal Kulud Huku Wala Mm Kuja Kwahy Haina Haja Ntajuwa Mimi Jins Yakuish Wala Usjal Pambana2 Wala Me Stakuuliza Tena Saw"
Dah! Kweli mpaka saiv sjamjibu namfikilia sjui nimjibu nini huyu mtu.
Eti ila Sina Pa kwenda daah!! wanawake [emoji16][emoji16]Ndivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
So muda ghani mnakuwaga straight? kuna muda anakuambia niache na mambo yangu kumbe anamaanisha draw me closure to youNdivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
Dah ni kazi sana broSo muda ghani mnakuwaga straight ? kuna muda anakuambia niache na mambo yangu kumbe anamaanisha draw me closure to you