Ushauri: Mpenzi wangu ataniua!

Ushauri: Mpenzi wangu ataniua!

Sisi ni binaadamu na wala sio mbuzi ama kuku kwamba nyege zikitupanda hapo hapo tunapandwa na yeyote.

Alishindwa kuongea na mwenzie kwa utaratibu na kumwambia shida yake?

Miaka 3 yote uishie kupigwa miti ovyo kisa nini?
Akili hizo ulizonazo Ni zako wewe,
Sio wanawake wote wanaweza waza hivyo zikishampanda.

Na Sio kwamba ataenda TU kuomba kupandwa Kama mbuzi,

Ni kwamba akija ongea ivyo ujue kua tayar Kuna Wanaume wananyatia nyatia kimya kimya MDA mrefu ila dada wa watu kawaweka Kwenye WAITING LIST.

Na wananyatiaji sikuzote ikitokea nafas kidg tu, wanaitumia ipasavyo.
 
Hapo cha kufanya ni kumwambia asafiri aje ulipo then utaona furaha yake
 
Na atakuua kweli...
Mapenzi ukichaa,, na ukizubaa utakufa kweli...

Mkuu achana na mwanamke huyo,,, wewe ongea nae hali halisi... Mueleze unachoona kitafaa kutokana na akili yake... Mengine muachie yeye...

Ukiwa kwenye hustle usiwazingatie sana hao viumbe... Watakufelisha... Kuwa na misimamo then pambana.
 
Sisi ni binaadamu na wala sio mbuzi ama kuku kwamba nyege zikitupanda hapo hapo tunapandwa na yeyote.

Alishindwa kuongea na mwenzie kwa utaratibu na kumwambia shida yake?

Miaka 3 yote uishie kupigwa miti ovyo kisa nini?

Hehehehe mkuu kuna binadamu kama mbuzi... Wao wakisikia tu lazima wapandwe...

Shukuru wewe haupo hvo,,, wapo wenzako
Niamini mm..
 
Ndivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
Hii naona ipo kwa wanaawake wengi hawapo straight..hasa akiwa anakupenda
 
Huyu ndo yule mwanamke aliye kua hataki kukuruhusu kwenda mkoa mwingine?

Kama ndiye basi jua hukua na baraka zake katika hiyo safari na ndio maana wenda mambo hayajaenda sawa.

Kuhusu text yake mkuu, tuliza kichwa mpigie simu mueleze yote ya muhimu anayofaa kuyajua na jiandae kwa both action reaction kutoka kwake.
Tiara kweli ww baraka zake za nini wee ni mwanaume kweli kiazi kabisa unangojea ruhusa ya mtu kupambania maisha yako mouuzi mmoja ww
 
Hakuna cha kukufanya ufe apo labda tu kama una kiherehere cha kutaka kufa, kakutext anatamani kusafiri ila hana pa kwenda! Alimaanisha wewe umruhusu aje huko ulipo badala yake we ukajibu mafyongoo[emoji57]
Kama Hana ela anakuja vp na akifika ataishije mnachukulia rahisi kila kitu
 
Yani ufe kisa suala dogo ivo? Mambo hayapo sawa upande wako ukitaka yaendelee kutokuwa sawa maradufu ongeza na stress za mapenzi.
Pambana mambo yako yapate uelekeo vinginevyo hata akija ulipo anaweza kukuchanganya kabisa.
 
Haina haja Ya Knambia Ha2a Ulofikia Me Nimesha Jua Tiyal Me Kuku Uliza Nataman Kusafil Ulivo Nijib2 Nikajua Kabsa Ww Huko Uliko Haujawa Tiyal Kulud Huku Wala Mm Kuja Kwahy Haina Haja Ntajuwa Mimi Jins Yakuish Wala Usjal Pambana2 Wala Me Stakuuliza Tena Saw"

Dah! Kweli mpaka saiv sjamjibu namfikilia sjui nimjibu nini huyu mtu.
😅 Anamajibu mazuri sana...
 
Ndivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
Eti ila Sina Pa kwenda daah!! wanawake [emoji16][emoji16]
 
Ndivyo wanawake tulivyo. Lile swali lake lilikua linauliza kinyume. Alimaanisha natamani nisafiri nije huko ila ndo akaandika vile akitegemea utamwambia njoo huku mpnz ila ulivyojibu vile tayari kichwa chake kimebeba picha nyingine. Kweli mlipoambiwa muishi na sisi kwa akili, including these shits. We are not always straight
So muda ghani mnakuwaga straight? kuna muda anakuambia niache na mambo yangu kumbe anamaanisha draw me closure to you
 
Siku zote ukitaka kuwasiliana na mtu juu ya jambo muhimu usitumie SMS...

Texts huwa zinashindwa kueleza hisia mwandishi ako nayo, unaweza ukaandika maneno msomaji akatafsiri kama mwandishi ana hasira kumbe si kweli n.k
 
Back
Top Bottom