ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
hii mbinu nzuri saana,nimeipenda😅Wapange wahuni waje wawateke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii mbinu nzuri saana,nimeipenda😅Wapange wahuni waje wawateke
Unamtaka. MTU anagomeaje kutoka kwenye chumba chako??Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi.
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje Jumamapili mpaka leo Ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Hii kitu inaua nguvu za kiume.Kusex nae mpaka pawe pakavu akipata mchubuko we usijali endelea kuomba game tu mpaka atasepa mwenyewe
Kama alishawahi kumpa je?muombe Tigo, akibaki nakupa 5000
Wataalamu tunaita takolingau wakati anapiga tako
Nimecheka kwa zauti🤣🤣🤣Mfungulie kesi ya ugaidi.
Kwa kweli hiyo msomali kafia kwenye Fiat ndio naisikia leo. Hii anakupaje kupaje?So unasema kwamba tuweke style za msomali kafia kwa fiat, mbuzi kagoma kwenda ili mradi mambo tofauti.
Ah hiyo yako tuu. Mie nachoona mzeya mwanamke ukishamkojolea mara tatu bwana anakinai
Usiache hela kabisa ..ondoka asubuhi rudi usiku ukiwa umekula kabisa. Kila siku nunua umeme wa buku tu usiku ili uweze kunyoosha nguo za kazini, utaisha mchana atashinda bila umeme. Kama umepanga vumilia hadi kodi ikiisha uhame. Siku ya kuhama mpe hela akanunue vitu vya ndani na asuke. Akiondoka tafuta gari pakia vitu fasta akirudi akute haupo. Na jitahidi hiyo zipu usiifungue kabisa tafuta demu mwingine. Maana ukilala nae tu atakushushia kesi ya mimba hata kama sio yakoNi binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi.
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje Jumamapili mpaka leo Ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Viatu mkononiHahahahaha kumbe kupelekewa moto huwa mnakimbiaga mbunye ikivimba!
[emoji16][emoji16]mbona kubambikiwa jamaniUsikute unaandaliwa mazingira ya kubambikiwa mimba.
We ulimleta kwa kazi ipi kumla tu?au?Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi.
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje Jumamapili mpaka leo Ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Golikipa ni mwanamke wa aina gani?Chukua Ushauri huu
Halafu mkuu achana na wanawake magolikipa inaonekana huyo n maamuma Hana A WALA B
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
I get it [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]una bei gani?
Kampuni yetu imahusika na Extraction!
Do you copy????? [emoji23][emoji23][emoji23]