Ushauri: Mrembo kanipanda kichwani hataki kuondoka nyumbani kwangu

Ushauri: Mrembo kanipanda kichwani hataki kuondoka nyumbani kwangu

Hujamfanya hujakoleza ikavimba,tunakimbiaga wenyewe mbona.Mwombe akusindikize unapoenda job akitoka tu funga mlango akilazimisha msukume bora aanguke kuliko aibu inayoelekea kukuta then kalale lodge usiku mmoja tu
Hahahahaha kumbe kupelekewa moto huwa mnakimbiaga mbunye ikivimba!
 
Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi

Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.

Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.

Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.

Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.

Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Kwani ni mnene sana anamaliza nafasi ya chumba, kama hajai chumba muache tu akae maana wewe ndiye ulimpeleka kwako.
 
Dah! Wanamajaribu sana mwanangu
Mimi nilikuwa na demu mmoja wa huko pentecoste, baada ya yeye kukubali niwe mpenzi wake,mara jinalikabadilika nikaanza kuitwa mume, mara utakuja lini home kwa wazazi wake visanga ni vingi, ilibidi nimpige chini bila kumlaa manake niliona huku tunapoelekea palikuwa pabaya zaidi
 
Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi

Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.

Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.

Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.

Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.

Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.

Usikute unaandaliwa mazingira ya kubambikiwa mimba.
 
Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi

Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.

Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.

Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.

Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.

Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Mwambie "muda umeisha" ataondoka mara moja maana atahisi unataka kufanya ugaidi.
 
toka juzi kanuna kuondoka hataki na mzigo hataki kutoa analamika kwa nin namfukuza wakat nilimwambia nampenda..
Ana hoja tena nzito kama ulikuwa unamtamkia unampenda kama bosheni,nasema hivi upigwe na kitu kizito kwenye hicho kichwa.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom