Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanaume wagumu cuteEti ikavimba we dada umevunja mbavu zangu usiku huu😂😂😂😂😂
Hahahahah utashangaa anavyotoa tigo kistadi😅 hutaamini kama ndio yule anaekolezaga sauti ya pili!muombe Tigo, akibaki nakupa 5000
Kwani wanawake wanaoshinda kanisani huwaga wana kazi basi?Hana Kazi za kufanya?
Hahahahaha kumbe kupelekewa moto huwa mnakimbiaga mbunye ikivimba!Hujamfanya hujakoleza ikavimba,tunakimbiaga wenyewe mbona.Mwombe akusindikize unapoenda job akitoka tu funga mlango akilazimisha msukume bora aanguke kuliko aibu inayoelekea kukuta then kalale lodge usiku mmoja tu
Kwani ni mnene sana anamaliza nafasi ya chumba, kama hajai chumba muache tu akae maana wewe ndiye ulimpeleka kwako.Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Kiswahili siyo mchezo...."amegoma kabisa kuondoka kwao"...Unamaanisha nini hapo?
hahhahahahahahaHahahahah utashangaa anavyotoa tigo kistadi😅 hutaamini kama ndio yule anaekolezaga sauti ya pili!
😀 Wahi nenda kashitaki!niende polisi maana naona ishakua noma.
Kazi unayotoka juzi kanuna kuondoka hataki na mzigo hataki kutoa analamika kwa nin namfukuza wakat nilimwambia nampenda..
Mimi nilikuwa na demu mmoja wa huko pentecoste, baada ya yeye kukubali niwe mpenzi wake,mara jinalikabadilika nikaanza kuitwa mume, mara utakuja lini home kwa wazazi wake visanga ni vingi, ilibidi nimpige chini bila kumlaa manake niliona huku tunapoelekea palikuwa pabaya zaidiDah! Wanamajaribu sana mwanangu
Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Mwambie "muda umeisha" ataondoka mara moja maana atahisi unataka kufanya ugaidi.Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza.
Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje jumamapili mpaka leo ijumaa amegoma kabisa kuondoka kwao.
Nimetumia mbinu zote za kidiplomasia naona inashindika ananiambia ataondoka siku atakayojisikia.
Na nikisema nitumie nguvu naona itakua noma kutaibuka makelele hapa na hawa majirani wananiheshimu sana.
Sasa wakulungwa wenzangu emu nipeni ushauri hapa nifanye nini? Au niende polisi maana naona ishakua noma.
Atarudi,si anapajua?Mbona simple tu jifanye kama mnatoka out kwenda mahali flani kula msosi Kisha unamtelekeza uko, ww unaenda kulala lodge kesi inakuwa imeisha.
Ana hoja tena nzito kama ulikuwa unamtamkia unampenda kama bosheni,nasema hivi upigwe na kitu kizito kwenye hicho kichwa.toka juzi kanuna kuondoka hataki na mzigo hataki kutoa analamika kwa nin namfukuza wakat nilimwambia nampenda..