Sio anaimba utumbo bali anaimba kwa target na ndio maana amekuwa msanii mwenye hela nyingi kuliko msanii yoyote wa hapa bongoAnaimba utumbo lazima tuseme, akiimba kizuri tutakisifia pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio anaimba utumbo bali anaimba kwa target na ndio maana amekuwa msanii mwenye hela nyingi kuliko msanii yoyote wa hapa bongoAnaimba utumbo lazima tuseme, akiimba kizuri tutakisifia pia.
Gggiiigggaaaagagag gigagagaiga yani dah 😃😃😃😃😃😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna hapa khaaah, eti nn? Uwiiiiiih
Kwa hiyo mbele ndio wanasikilizaga gggigigi Gaga gagaga agagaag gigagigagigagagag😂😂😂😂Sio rahisi ile ngoma kupendwa kibongobongo mzee.
Jamaa ameimba kuwateka mbele.
Dogo anatuona sisi mafala sana 😃😃😃😃 gigagigagigagagag ungese wake awapelekee wajinga wanaomlamba makalio watu tunataka ngoma za maana sio hii nyimbo ya mabubu sijui.Everibadi seyi gigi....gi....gaga
Wivu tu..
Ova...
Nyie jamaa nyie 😂😂😂😂 giga giga gigagagagaHuyo jamaa kwa sasa soko lake sio Bongo...
Nyie jamaa nyie 😂😂😂😂 giga giga gigagagaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gggiiigggaaaagagag gigagagaiga yani dah [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
SahihiHuyu kijana ana akili sana ya kutafuta pesa. Hii nyimbo itamuongezea pesa japo ni nyimbo isiyo na maana.
Katika burudani Dunia ya leo haipendi mambo yenye maana na mafundisho.
Enzi zetu disco list unakuta ni:
Mzee wa busara
Sitaki dem
Wanok nok
Ugali
Ndani ya club
Hi leo
Zuena
N.k n.k
Asilimia kubwa nyimbo zilikuwa zina ujumbe na mafundisho.
[emoji3][emoji3][emoji3]Gggiiigggaaaagagag gigagagaiga yani dah [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nyimbo ya wagagagigikoko gggigigi gagag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo hapa. Kawadanganye wagogo wenzio hapo msalato. Hivi kuna wimbo ulikua unabamba kama hakuna kulala ya juma nature?? Alikua anaeleza ujumbe gani?? Huyo Kofi alikua ana vibao matata hakuwa na cha maana alichoeleza. Maisha yana nyakati nyingi. Alafu muziki ni fasihi ni either ukuelimishe au ukuburudishe Comred. Enjoy GIDI mkuu.Huyu kijana ana akili sana ya kutafuta pesa. Hii nyimbo itamuongezea pesa japo ni nyimbo isiyo na maana.
Katika burudani Dunia ya leo haipendi mambo yenye maana na mafundisho.
Enzi zetu disco list unakuta ni:
Mzee wa busara
Sitaki dem
Wanok nok
Ugali
Ndani ya club
Hi leo
Zuena
N.k n.k
Asilimia kubwa nyimbo zilikuwa zina ujumbe na mafundisho.
Mr nice alipata umaarufu mkubwa east africa mpaka kuna wakati kenya waliomba awe msanii wa nchi yao lakini nyimbo zake nyingi zilikuwa hazina contentAcha uongo hapa. Kawadanganye wagogo wenzio hapo msalato. Hivi kuna wimbo ulikua unabamba kama hakuna kulala ya juma nature?? Alikua anaeleza ujumbe gani?? Huyo Kofi alikua ana vibao matata hakuwa na cha maana alichoeleza. Maisha yana nyakati nyingi. Alafu muziki ni fasihi ni either ukuelimishe au ukuburudishe Comred. Enjoy GIDI mkuu.
Hahaha. Sasa ugogo na huko msalato panahusiana nn na hoja ya hiyo nyimbo yako ya hakuna kulala?Acha uongo hapa. Kawadanganye wagogo wenzio hapo msalato. Hivi kuna wimbo ulikua unabamba kama hakuna kulala ya juma nature?? Alikua anaeleza ujumbe gani?? Huyo Kofi alikua ana vibao matata hakuwa na cha maana alichoeleza. Maisha yana nyakati nyingi. Alafu muziki ni fasihi ni either ukuelimishe au ukuburudishe Comred. Enjoy GIDI mkuu.
UshogaKwako diamond..
Mimi shabiki yako kindakindaki nimekuwa nikizipenda kazi zako toka kamwambie, ila now days unaimba utopolo sikupangii cha kuimba ila naamini muziki mzuri ndio umefanya upo hapo ulipo.
Huu wimbo ulioutoa jana ni utopolo mtupu wimbo mzima umejaa gigi gagaa kga kge gagaa gagaa gagaa gidi gigi gagaa aiseeeh kama kuna mtu umempa kazi ya kukuandikia mkimbie anakuharibia.
Nimeona umetangazi ujio wa EP mwezi march kama kuna magigi gig gagagaaah mengine kwenye hiyo EP nenda kayatoe tunataka muziki mzuri.
View attachment 2124489