Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo zitampa tuzo za Grammy nyimbo za ainaa hii, angalia madogo tu wanaija wanavokaza sahiviiiHahah...
Ndio hivyo hana mpango tena na wabongo sijui kuwatungia vitu kama Mbagala...
Jamaa anatengeneza nyimbo wanaenda sikiza hadi wahindi wasiojua kiswahili...muhimu mdundo tu, maneno wataimbishwa hizo a e i o u
Eeh halafu wengi wenu mnaidisi hamjui kaiimba kwasababu gani.Kwa hiyo mbele ndio wanasikilizaga gggigigi Gaga gagaga agagaag gigagigagigagagag😂😂😂😂
Hiyo ngoma mbona ameiperform grammyNdo zitampa tuzo za Grammy nyimbo za ainaa hii, angalia madogo tu wanaija wanavokaza sahiviii
Huyu dogo anatuchukulia poa sana 😃
Sawa gagaggigi 😂😂 hamna nomaEeh halafu wengi wenu mnaidisi hamjui kaiimba kwasababu gani.
Sa hiyo ndo kaiperfom grammy's global spin na wameipromote hiyo ngoma ya gigigi gagagag gogogo.
Kwani mnavyomsifiaga huwa zinamfikia? Ndio machawa mumfikishie salamu.Utaendelea kuandika ujinga uku mtandaoni ambapo D hata hawezi kuona. Mwenzako ameingia mikataba na makampuni ya kimataifa ambayo hayatomuelewa akianza kuimba nenda kamwambie. Kwanza hapa bongo hamnunui cd wala kununua nyimbo za wasanii kama wafanyavyo wenzetu wa nchi zilizoendelea. Ndio maana unaona Marioo mziki wake unapendwa sana na watanzania lakini hawezi kuwa na kipato kikubwa kama D ambae nyimbo zake zinanunuliwa uko ulaya....watu wanapenda midundo mizuri na hii nyimbi yake mpya ni nzuri japo ww mpenda taarabu na singeli huwezi elewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo mbele ndio wanasikilizaga gggigigi Gaga gagaga agagaag gigagigagigagagag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Civilian CoinHuyo daimondi anatumia id gan huku nimtagi aone ujumbe wake😂
Sasa si awaimbie kilingala hao soko lake.Huyo jamaa kwa sasa soko lake sio Bongo...
Sasa si awaimbie kilingala hao soko lake.
Ila chawa nyie ni watu wanafki Sana hela zake unazijua wewe ni mkewe?Sio anaimba utumbo bali anaimba kwa target na ndio maana amekuwa msanii mwenye hela nyingi kuliko msanii yoyote wa hapa bongo
Amna ni vile tu wabongo hamuelewi yani sio kila akitoa ngoma basi kakulenga wewe ama hadi uipende wewe kijana.Huyu dogo anatuchukulia poa sana 😃
Sawa gagaggigi 😂😂 hamna noma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyimbo ya wagagagigikoko gggigigi gagag