Tanzania sio kisiwa, hii ni vita kijana.Great thinker
Anaanza na muhimi
Anamalizia kwa kusema kuna Covid-19 akati mkuu wa nnchi anapinga ilo, kisha anakuambia tunapambana na covid-19 , kwa tahadhari zipi zilizochukuliwa??
My take
Wewe ni great thinker kweri kweri, Karibu chattel.
Kubali kuitwa ili uelimishwe, ukibisha kuwa wewe si mjinga utakua na utindio wa ubongoJukumu la kutangaza uwepo wa magonjwa mfano wa COVID-19 kisheria ni la serikali kupitia waziri. Lini serikali imekutangazia kuwa nchini kuna Covid-19?
Usionyeshe utahira kwa JF kwa akili zako hata jf unatamani ifungwe mpuuuuz sanaKuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Taarifa zako zote tunazoNani ananilipa? Mimi kutoa wazo muhimu imekuwa kosa?
Wewe elimu yako mwisho darasa gani? Kila nchi ipo kwenye mpambano dhidi ya covid 19? Tumia akili dogoJukumu la kutangaza uwepo wa magonjwa mfano wa COVID-19 kisheria ni la serikali kupitia waziri. Lini serikali imekutangazia kuwa nchini kuna Covid-19?
Ni akili yako au umetumia ya mtoto mdogo.Akili ndogo inasema mtandao ufungiwe au mtu binafsi.Asilimia 90 twitter taarifa zao ni za kweli.Zinafukuliwa hadi uvunguni.Tulieni ziendelee kufukuliwa.Ni nimoni sio covid 19.Hiyo kabisa haipo tanzani.OyeeeeeeeeeeKuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Acha umbeya dogo huko Twitter kimekupeleka nn? Na humu JF kimekuleta nn si ukae kimya kwani lazima ufuatilie yanayoendelea huko?Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Lini zimekuwa kweli? Uongo wa kupapasa na kuzua uzushi.Ni akili yako au umetumia ya mtoto mdogo.Akili ndogo inasema mtandao ufungiwe au mtu binafsi.Asilimia 90 twitter taarifa zao ni za kweli.Zinafukuliwa hadi uvunguni.Tulieni ziendelee kufukuliwa.Ni nimoni sio covid 19.Hiyo kabisa haipo tanzani.Oyeeeeeeeeee
Mkuu ungeshauri mtandao wa aina yoyote upigwe marufuku nchini tungekuwlewa.Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Wewe jamaa jinga sana na thread zako.Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.
Qengay na Qenday wwHampendi kuambiwa ukweli.
Kuna upotoshaji mpaya sana unaofanywa na watu wasio na nia njema na taifa hili, na kusababisha taharuki kwa watanzania.
Mtandao wa Twitter unatumika vibaya sana na watu ambao ni wapuuzi na siku zote hawana nia njema na Tanzania kwa sababu zao ambazo hazina mashiko.
Kila mtu anajua sasa hivi kila Taifa lipo kwenye changamoto ya kupambana na Covid 19 new variant.
Lakini inakuwa sio vizuri kuona wapuuzi wachache ambao wanazusha vifo vya uongo, wanazusha kuwa ugonjwa umetapakaa mithiri ya wingu zito.
Kiuhalisia bado tuna hali nzuri. Hivyo tuchukue hatua kudhibiti kuenea zaidi, Mungu atatusaidia.
My opinion; Tcra wafungienTwitter kwa mwaka mzima mpaka hali itulie. Pia VPN zifungiwe ili njia za panya zisitumika kupotosha na kuzua uongo.