Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

Mwaka jana kuna Mh alikula kitengo kwa kutoa ushauri unaofanana na wako. Umesahau kuweka namba mkuu.
 
Kuna vitu huwezi kuzuia hata iweje. Wewe umeona Twitter tu. Na kwa nini wafungie wakati Raisi mwenyew anatumia Twitter kutoa taarifa mbalimbali pamoja na pole kwa misiba mikubwa kama huu wa Maalim
Twitter sio sehemu rasmi ya mawasiliano...
 
Upuuzi mtupu.
 
Bwashee kusema kweli kuwa tuna ugonjwa ni lazima tuzue vifo vya uongo. Na kuzua taharuki?
Ni hatua gani mmechukua kwa wale wapinzani mliowaua kwenye uchaguzi, Ili ccm iendelee kukaa madarakani kwa shuruti?
 
Kuna vitu huwezi kuzuia hata iweje. Wewe umeona Twitter tu. Na kwa nini wafungie wakati Raisi mwenyew anatumia Twitter kutoa taarifa mbalimbali pamoja na pole kwa misiba mikubwa kama huu wa Maalim
Bila kusahau kwa VPN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…