Ushauri muhimu: Serikali izime kabisa mtandao wa twitter, unatumika vibaya kipindi hiki tunapopambana na Covid 19

Hii inaonyesha jinsi ulivyo na akili ya kuku. You simply need to die of Newcastle!
 
Hizi ndio akili za muwindaji aliyechoma msitu mzima ili ampate sungura.
 
Unsijua Twitter gulio? Unajua watu wangapi wanafanya Bishara Twitter.

Wewe ni mpumbavu mkubwA.

Anayetukana si munkamate?
 
Fool
 
Wafungie hata na JF ili na wewe ukose pa kuchangia.

Wakifungia Twitter tu watu watahamia JF.

Hapo unaonaje?
 
Ilishafungwa tangu October ila bado inapeta ! Shimo la panya lilizibwa kwa mkate wenye jibini! Ijue kweli na hiyo kweli itakuweka huru
 
Kwani, mnapambana na korona au mnapambana na wanaoweka wazi kwamba korona ipo na inauwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…