anajifanya anasikia wakat ndo walewaleUnasikia? Hahaha! Shikamoo King'asti! Kweli kabisa. Mpeleke haraka Marie Stopes. Wamebobea kwenye mambo hayo. Sijui ni lini Tanzania itaruhusu utoaji mimba salama. Wanawake wanahangaika kutoa huko vichochoroni kwa njia za ajabu ajabu. Wengine wamepoteza hata maisha.
HahahhahhNenda polisi kupata pf3 ndo umpeleke hospitali, wote nyie ni wahalifu!
Hapo saw ulichokifanya wew nd nilichokifanya mim, huwez toa mimba bila sababu ya msingi nimemucha na makofi juuMi nilimwacha msichana kwa sababu ya kutoa mimba, kiongozi una moyo mpaka leo upo nae. sababu ya kutoa mimba alisema ni nini? Mara nyingi wanakuwaga wamechanganya madesa.
Kwa uelewa wangu hata siku moja binti huwa haombi wala kulazimisha kutoa mimba. Ila atakulazimisha uende kwao ukakamilishe taratibu, kaa chonjo unaibiwa mkuu A.K.A.47
WAMESHEFUNGIWA WITH SUCH OFFERED SERVICES THEY ARE USED TO PREVIOUSLY AS CURRENTLY PROHIBITEDMpeleke hospitali. Marie stopes nasikia ndo wataalamu san wa hizi issues?
AISEE POLENI SANA NDUGU. BUT YOU'LL BE CAREFUL NEXT TIME WHEN BEING PRESCRIBED WITH A QUANTITY DOSE AND USE IT PRECISELY, HAPO HAKUTUMIA KWA UTARATIBU SAHIHI I GUESSwana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).
Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.
Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.
NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.
Nawasilisha
I DON'T THINK KAMA WAMESHARUHUSIWA KUTIBU ISSUE ZA ABORTION TANGU WAFUNGIWE.Unasikia? Hahaha! Shikamoo King'asti! Kweli kabisa. Mpeleke haraka Marie Stopes. Wamebobea kwenye mambo hayo. Sijui ni lini Tanzania itaruhusu utoaji mimba salama. Wanawake wanahangaika kutoa huko vichochoroni kwa njia za ajabu ajabu. Wengine wamepoteza hata maisha.