Ushauri: Mwanamke kutoa ujauzito kwa vidonge vya Misoprostol na kutokwa damu mfululizo

Ushauri: Mwanamke kutoa ujauzito kwa vidonge vya Misoprostol na kutokwa damu mfululizo

Unasikia? Hahaha! Shikamoo King'asti! Kweli kabisa. Mpeleke haraka Marie Stopes. Wamebobea kwenye mambo hayo. Sijui ni lini Tanzania itaruhusu utoaji mimba salama. Wanawake wanahangaika kutoa huko vichochoroni kwa njia za ajabu ajabu. Wengine wamepoteza hata maisha.
anajifanya anasikia wakat ndo walewale
 
Fanya mambo haya, tena haraka sana.
1/Tubu kwa Mungu kwa Kufanya uasherati.

2/Tubu kwa Mungu kwa kujihusisha na kutoa mimba(Hata kana wewe hukutaka lakini muasherati mwenzako alitaka kutoa)

3/Mpeleke haraka sana huyo Binti Hospitali (Sio vichochoroni) na umweleze ukweli Daktari kuwa huyo dada ametoa mimba. Hakikisha pia nyote mnampima kama bado hamjaathirika na Ukimwi.

4/Achana kabisa na huyo binti, hakufai, ni muuaji kabisa, kama ameweza kuua mtoto wako aliyekuwa tumboni tena mtoto asiyekuwa na hatia ipo siku anaweza kutamani hata kukuua na wewe.
 
da! thread ya 2013 bado watu wanatoa ushauri jinsi ya kufanya ili damu istop!
 
Siku nikiwa regulator nitafunga sana hizi pharmacy zinazouza misoprostol bila prescription

Hawa ndio wanachochea zisipopatikana kirahisi watu wataacha .Ole wenu nifike tfda
 
Mi nilimwacha msichana kwa sababu ya kutoa mimba, kiongozi una moyo mpaka leo upo nae. sababu ya kutoa mimba alisema ni nini? Mara nyingi wanakuwaga wamechanganya madesa.

Kwa uelewa wangu hata siku moja binti huwa haombi wala kulazimisha kutoa mimba. Ila atakulazimisha uende kwao ukakamilishe taratibu, kaa chonjo unaibiwa mkuu A.K.A.47
Hapo saw ulichokifanya wew nd nilichokifanya mim, huwez toa mimba bila sababu ya msingi nimemucha na makofi juu
 
Mpeleke tu hospital. Atapata msaada wa kitabibu Ila siku nyingine jitajidini kiwa makini.
 
wana jf habari
mpenz wangu alitoa mimba kwa kutumia vidonge(misoprostol).

Sasa hivi anatokwa na damu none stop takriban one consecutive month.

Naomba kwa yeyote anayefahamu madhara ya muda mfupi/mrefu ya vidonge hivi anijuze ili niweze pia kufaham.

NB: nilimkataza sana asitoe hiyo mimba hadi ilifikia tukashirikisha ndugu,jamaa na marafiki lkn alifanya kwa kificho.

Nawasilisha
AISEE POLENI SANA NDUGU. BUT YOU'LL BE CAREFUL NEXT TIME WHEN BEING PRESCRIBED WITH A QUANTITY DOSE AND USE IT PRECISELY, HAPO HAKUTUMIA KWA UTARATIBU SAHIHI I GUESS
 
Unasikia? Hahaha! Shikamoo King'asti! Kweli kabisa. Mpeleke haraka Marie Stopes. Wamebobea kwenye mambo hayo. Sijui ni lini Tanzania itaruhusu utoaji mimba salama. Wanawake wanahangaika kutoa huko vichochoroni kwa njia za ajabu ajabu. Wengine wamepoteza hata maisha.
I DON'T THINK KAMA WAMESHARUHUSIWA KUTIBU ISSUE ZA ABORTION TANGU WAFUNGIWE.
 
Back
Top Bottom