Bashe ndiye waziri anayeongoza kwa kuwa na mawasiliano mazuri lakini Mwigulu mwana Ilboru mwenzangu nampa nafasi ya mwisho. Mwigulu ndugu yangu hii serikali ni ya viongozi wapole na wataratibu sana hasa Raisi Samia na Makamu wake.
Makamu wake ambaye alikuwa waziri kama wewe na nafasi hiyo hajawahi kuonyesha dharau ya waziwazi hata kama unasema una PhD.
Sisi ambao tunajua kuhusu PhD tunajua huwezi kupata PhD bila kusaidiwa wakati ukiwa waziri huo ndiyo ukweli hivyo acha mara moja kutumia eti kwasababu una PHD lkuona wabunge wengine au wadau wengine kama vile umewazidi.
Lakini ushauri wangu unaenda mbali zaidi hili la kijigamba gamba pasipo ulazima linaonyesha utoto wako ambao unaweza hata kukuzuia nafasi na vyeo vikubwa zaidi huko mbele. Jifunze kutoka kwa Raisi na makuamu wake jinsi ya kwenda juu hasa kwenye jamii ya Watanzania.
Lakini kama unavyojua wahitimu wa Ilboru hatuna utamaduni wa kujigamba kitoto kitoto hivyo hata kama tunamafanikio makubwa.
Sijapenda hili na jirekebishe haraka kwa manufaa yako, ya serikali na jamii kwa ujumla. Haya ni mawazo yangu kwako ya wazi.
Najua kabisa utanipata. Ongea wakati hauna hasira.
Makamu wake ambaye alikuwa waziri kama wewe na nafasi hiyo hajawahi kuonyesha dharau ya waziwazi hata kama unasema una PhD.
Sisi ambao tunajua kuhusu PhD tunajua huwezi kupata PhD bila kusaidiwa wakati ukiwa waziri huo ndiyo ukweli hivyo acha mara moja kutumia eti kwasababu una PHD lkuona wabunge wengine au wadau wengine kama vile umewazidi.
Lakini ushauri wangu unaenda mbali zaidi hili la kijigamba gamba pasipo ulazima linaonyesha utoto wako ambao unaweza hata kukuzuia nafasi na vyeo vikubwa zaidi huko mbele. Jifunze kutoka kwa Raisi na makuamu wake jinsi ya kwenda juu hasa kwenye jamii ya Watanzania.
Lakini kama unavyojua wahitimu wa Ilboru hatuna utamaduni wa kujigamba kitoto kitoto hivyo hata kama tunamafanikio makubwa.
Sijapenda hili na jirekebishe haraka kwa manufaa yako, ya serikali na jamii kwa ujumla. Haya ni mawazo yangu kwako ya wazi.
Najua kabisa utanipata. Ongea wakati hauna hasira.