Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 505
- 960
- Thread starter
- #21
Kweli broKwani ukisoma huku unatrade forex utapata hasara gani? Uwe muwazi tu kuwa shule haipandi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli broKwani ukisoma huku unatrade forex utapata hasara gani? Uwe muwazi tu kuwa shule haipandi.
Kozi ngumu balaaKwani ukisoma huku unatrade forex utapata hasara gani? Uwe muwazi tu kuwa shule haipandi.
Serikali ndo imekusomesha na kukulipia mahitaji yote kuanzia unaanza chekechea, au umepata boom unaona wazazi hawana mchango tenaAda Ni serikali bro
Ndio, kwa njia Moja au nyingine!!Kwamba kila mzazi ANAHANGAIKA SANA KUPATA ADA?
Shukrani kwa ushauriSerikali ndo imekusomesha na kukulipia mahitaji yote kuanzia unaanza chekechea, au umepata boom unaona wazazi hawana mchango tena
Dogo fanya forex lakini kazana umalize chuo, ujinga wako huo utakuja kuua wazazi Bure
Kwanza namba 1 umekosea. Lengo la shule ni kutoa elimu, si kukutafutia hela.Habar wakuu
Mm ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko...
Habar wakuu
Mm ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs...
Hii ndio sababu inayokufanya uwaze kuacha masomo....hizo nyingine ni bla bla, pole.Kozi ngumu balaa
Manufaa yapi umeona hukoHabar wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu...
Forex au sio haya tupo hapa tutaonaHabar wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs
Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba ushauri naacha chuo ili nijikite zaidi huko.. Hoja zangu Ni kama ifuatavyo
1. Shule naona inapoteza muda na lengo la shule ni kutafuta hela as long as nimepata shortcut ya pesa why niendelee na shule?
2. Kujiepusha kuwa miongon mwa wahanga wa ajira mbeleni, ni heri nijiondoe mapema nikajitafute!!
3. Kitu ninachokisoma sijawahi kufikiria kama ningesoma, naona nilifata mkumbo, kuepusha majuto zaidi Ni heri nijichomoe mapema?
4. All in all what determines a man is his/her success, u choose to be part of success through FOrex
Hizo ndio points zangu.. Naomba ushauri na mawazo, ningeweza kuomba watu wanaonizunguka but najua sio rahisi wao kumkubalia na na mimi, but naamin humu JF kuna watu wenye upeo mkubwa, nakaribisha michango.
Nakushauri uache upuuzi.Jikite kwenye ushauri zaidi