Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ukiweza kuishi Africa mbona hata Jehanamu utaweza kirahisi sana!Africa tabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweza kuishi Africa mbona hata Jehanamu utaweza kirahisi sana!Africa tabu sana.
Yaan ile ya tuma kwenye namba hii au?Vipi na Ile pesa unaombwa na mtu wa mbali then unamtumia kwenye mwamala Haina shida? Baada ya kijifunza somo la kugawa pesa hata Mimi nimeacha kabisa... Ukiomba pesa ya chakula nakununulia chakula sikupi pesa, omba omba ukija dukani sikupi pesa Tena kama zamani, nakupa bidhaa niliyonayo inayoendana na hitaji lako
Wewe umewahi kupewa hizo 100 100 na mahindi?Mbona wahindi wanawapa masikini mia mia kila siku na hawafilisiki? Au hii "ilimu" yako ya pesa ni kwa sisi ngozi nyeusi tu?
Digital coins zipi hizo mkuu bitcoin?Wajanja hatutumii ordinary coin tunatumia digital coins baki na uchawi wako
Naam mkuu
YapYaan ile ya tuma kwenye namba hii au?