data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
HAPANA. Capital lettersEh mwambie babe jirekebishe unatoa harufu mzito nainakera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPANA. Capital lettersEh mwambie babe jirekebishe unatoa harufu mzito nainakera
Na hasemi 🤣Kumbe hadi puani,masikio yanatoaga harufu😂
mtumie sms kwa namba ngeni...
inakua surprise kama sms kutoka Won ticket ya SportpesaOhooo! 🤣🤣🤣
Jamani 😂😂😂Ndege warukao pamoja, ni vle umemuwahi kuleta hbr
Kumbe hadi puani,masikio yanatoaga harufu😂
😂😂😂Bebe kinywa chako hakipo sawa..
Mhhh hiyo ya Bikra sijaielewa😂Fungal infection...
Kukaa muda mrefu bila kuliwa...
Kuwa na bikra..
Mwambie hivi, "mpenzi wangu, unanuka sana, unanuka kila sehemu katika mwili wako."
Usizunguke wala usirembe.
Uzinzi na uasherati ni uchafu. msiukaribie.
Oaneni.
Mzee tafuta Mwanamke mzuri, na Msafi alafu uje useme ni porojo.Porojo hizo..