myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Duh!!...atashangaa..mtumie sms kwa namba ngeni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!...atashangaa..mtumie sms kwa namba ngeni...
Ni hatari sanaKisamaki ni janga
Ok ila huenda Kazini anashinda kwenye kiyoyozi , ila wengine inasababishwa na hali ya joto, hivi joto la Dar hili na daladala mkuuMwanamke Msafi hata atoke wapi ukimvua chupi husikii harufu mbaya..
Wife yeye anatoka kazini akifika akinikita nina ganzi zangu hata sisubiri aende kuoga wala aende kukojoa namrukia. Hana hayo maharufu. Na almost 12 hrs alikuwa kazini.
Dahhhhh we ni mshenzi number moja duniani. Kama kungekuwepo ranks za kijeshi ungekuwa Marechal aise. Kwamba? Nimecheka mpaka basiUyoo dem au maiti mkuu au ushaua bila kujua....
Aisee 🤣 🤣Bebe kinywa chako hakipo sawa..
Duh,!!!! Bora kuishia 3 basi.Wanawake wote wananuka K ukiwa mzee wa kimoja chali ama viwili chaji huwezi kuhisi harufu yeyote sasa piga bao tano za kibabe kuanzia la 4 ni harufu ya K mwanzo mwisho
Naenda nae kuoga.. tutaswaki huko hukoKiweke sawa 😂
Natamani sana siku moja nikutane na Maxcence aise. Maana hapa,dah! Hata ukichaa ni taaruma aise
Mwambie hivi, "mpenzi wangu, unanuka sana, unanuka kila sehemu katika mwili wako."
Usizunguke wala usirembe.
Khah! Wafanyeje? Umewahi ona mifugo ikijichunga? Kazi ya mchungaji nini sasa? Au mifugo si ipo kwa ajili ya kuchinjwa?Uzinzi na uasherati ni uchafu. msiukaribie.
Oaneni.
Nsivyopenda uchafu hapana kwa kweli, majuzi nilikutana na pisi kwenye usafiri, tukasalimiana fresh nikawa namuongelesha naona kimya, kimya, kimya nikamfanyia kwa vitendo akaniuliza nini, nkamjib nilidhania we ni bubu kumbe unaongea, akacheka na kuanza kunipa ushirikiano, ndipo nilipojua kwanini alikuwa kimya. Kinywa kinatoka harufu na alivyokuwa amependeza nikaanza kuwa kimya mimi.Naenda nae kuoga.. tutaswaki huko huko
Mimi ni Muislam, na kila Muislam ni mchungaji, lazima niikumbushe mikondoo njia iliyo sahihi ni ipi.Khah! Wafanyeje? Umewahi ona mifugo ikijichunga? Kazi ya mchungaji nini sasa? Au mifugo si ipo kwa ajili ya kuchinjwa?
Afu nyie mnao ongelesha watu barabarani mnakwaza… sijawahi kuwaelewaNsivyopenda uchafu hapana kwa kweli, majuzi nilikutana na pisi kwenye usafiri, tukasalimiana fresh nikawa namuongelesha naona kimya, kimya, kimya nikamfanyia kwa vitendo akaniuliza nini, nkamjib nilidhania we ni bubu kumbe unaongea, akacheka na kuanza kunipa ushirikiano, ndipo nilipojua kwanini alikuwa kimya. Kinywa kinatoka harufu na alivyokuwa amependeza nikaanza kuwa kimya mimi.
Kuchanganya wanaume tofautitofautiHivi inakuwaje unatoa harufu?
Nchi huru hii ukinipa ushirikiano fresh tunabonga wengine hatujaoa huenda mke nkakutana nae kwa njia hiyo.Afu nyie mnao ongelesha watu barabarani mnakwaza… sijawahi kuwaelewa
Uzi unazungumzia mpenzi/ mke/ mume.. ungefanyaje?