FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Of course.Kwahiyo wote wanaotoa harufu ni wachafu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course.Kwahiyo wote wanaotoa harufu ni wachafu ?
Hofu yako Nini kwa mtu unaemvulia nguo..!?Hivi wakuu tuacheni masihara, haya ni mambo yanayotokea kweli au mnatunga.
Na je ni mtu wako kabisa kabisa au wakuazima 🤷🏻♀️
Hii imekujaje hapa!??DR REMMY ONGALA
Ndie mwanamuziki wa kwanza kama sio pekee mwenye recognition ya jina la mtaa nchini Tanzania.
Remmy Ongala alipiga muziki wake kwa mtindo wa Soukous yaani maadhi ya Rhumba toka DRC huku akiimba kwa lugha ya Kiswahili.
Nyimbo zake zilibeba jumbe murua, aliimba kuhusu umaskini, rushwa, siasa, maisha ya watu wa kawaida, viongozi na kuisifu Tanzania kama nchi nk.
Mwaka 1990 alitoa wimbo uitwao "Mambo kwa soksi" ulopingwa na watu wengi hadi kufikia kufungiwa. Japo ulifungiwa Remmy aliendelea kuutumia katika shows zake.
Baadae kidogo mwishoni mwa miaka ya 90 Watanzania wengi walikuja kugundua wimbo huo haukuwa ukisifia ngono kama ambavyo walivyodhani mwanzo bali ni kuwaasa watu wanaofanya ngono zembe kujilinda.
Pia inasemekana wimbo wake ya "Kipenda Roho" ilitumika katika filamu ya kimarekani iitwayo NATURAL BORN KILLERS ya Oliver Stone.
Kutokana na nyimbo zake nyingi kupinga uongozi wa wakati huo, alijikuta akirudi nyumbani kwao DRC kwa muda.
Kutokana na umaarufu wake wa kuitangaza Tanzania ndani na nje ya nchi Afrika na Ulaya alikokuwa maarufu sana, alifanikiwa kupata uraia wa Tanzania.
Ndie msanii wa kwanza Tanzania kupata shows katika matamasha makubwa ulaya tangu miaka ya 1980s
Kwa ajili ya uimbaji na utunzi wake wa kuliwaza, Remmy alipewa jina la “Dokta”
Alipozaliwa wazazi wake walimuita Ramadhani Mtoro Ongala. Alizaliwa Mwaka 1947 katika mkoa wa Kivu huko DRCongo ya leo ambayo hapo zamani kwanza iliitwa Belgian Congo kabla ya kuitwa Zaire. Familia yake iliishi katika eneo lililoitwa Kindu eneo ambalo halikuwa mbali sana kutoka mpakani na Tanzania. Baba yake alikuwa ni mwanamuziki mashuhuri pia akiwa mpiga ngoma kwa kutumia mkono na pia mbira. Pindi tu alipozaliwa familia yake ilihamia Kisangani.
Wewe unaonaje!?
Muziki wa Dansi wa Tanzania una asili ya DRC Congo!?
Ningeshuru mkuu fanya hima nipatie huyo mrembo na Angekuwa mweupe ningeshukuru zaidi ♥️😃Kama uko single nikupatie dada angu mmja pisi maan mtafika mbali
Na kweli..Mtakuja kuokota hadi majini nyie jifanyeni popote kambi.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mweupe haswaaa itabid nikupatie tuNingeshuru mkuu fanya hima nipatie huyo mrembo na Angekuwa mweupe ningeshukuru zaidi ♥️😃
Ni namna gani unaweza kumueleza mwenzi wako, mathalani kwenye tupu, mdomoni, maskioni, kichwani, puani, kwapani, miguuni au mwilini kwa ujumla kwamba kunatao hewa na harufu kali na ngumu kuivumilia wala kuistahimili na asiweze kujiskia vibaya?
Sasa hapo si utampoteza Mubebe Mkuu, wanawake wenyew hawa wa Gombania goli
Shem, moyo wako ububujike neema, upate pesa nyingi zingine mpk ugawie ma boss uchwara wa humu jf!!Mweupe haswaaa itabid nikupatie tu
Sio mdogo angu ni dada angu.Shem, moyo wako ububujike neema, upate pesa nyingi zingine mpk ugawie ma boss uchwara wa humu jf!!
Huyo mdogo wako mweupe wa kuzaliwa nitumie japo kapicha😃
PointTafuta mwanamke msafi.