Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Mtakuja kuokota hadi majini nyie jifanyeni popote kambi.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikondoo inafugwa ikaliwe, midemu na mijimama ipo wanaume wakaende gerejiMimi ni Muislam, na kila Muislam ni mchungaji, lazima niikumbushe mikondoo njia iliyo sahihi ni ipi.
Maybe..Ok ila huenda Kazini anashinda kwenye kiyoyozi , ila wengine inasababishwa na hali ya joto, hivi joto la Dar hili na daladala mkuu
Mimi najiuliza hivi utajuaje unatoa harufu kama wapenzi wenyewe ndio hawa wanaogopa kutuambia.Hivi inakuwaje unatoa harufu?
Dah umenichekesha ndugu
Kama uko single nikupatie dada angu mmja pisi maan mtafika mbaliNdege warukao pamoja, ni vle umemuwahi kuleta habari.
Kuna uchafu unaokosa harufu?
Malaika wa misukosuko duh, hii Id uliwaza nini mkuu😀🙌
Udugu mwenyewe nipo kucheka wanaume wa Jf wanachekesha 😂😂😂Hizi koments hahahaaa!
😂😂😂 atajua km wewe tumtumie sms kwa namba ngeni...
😂😂😂😂 Huku anapiga chafyaHuwa mnakutana nao wapi jamani?
Ila mimi niliambiwa, baby kikwapa chako mmh kinanipa mzuka, nikajiongeza😅😅
Kisamaki ni janga
Hatari sana, ila ndivyo maisha yalivyo, lazima ukutane na mengi kabla hujaseto😅😅😂😂😂😂 Huku anapiga chafya
Aende massage parlour wanakuaga wasafi sanaAtampataje