Kama ni hivyo sasa itabidi tununue na ma tool box.....ninachojua mimi nikubadilisha Tyre tuAchana na BOT.. Uwe na akili ya kuijua gari yako..!
Kubadilisha oil..
Filter..
Coils na Plugs..
Fuel pump..
Hizo sio kazi za kupeleka gari garage.. Unafanya mwenyewe..!
Sure.. Jinsi unavyokaa nayo na unazidi kuizoea jifunze kufanya baadhi ya vitu mwenyewe.. Itakusaidia sana kupunguza gharama janjajanja..!Kama ni hivyo sasa itabidi tununue na ma tool box.....ninachojua mimi nikubadilisha Tyre tu
Ni,gari gani,kwanza?Nilishangaa kabla ya kuwasha break ilikuwa loose! Nikapump ikajaa, nilipowasha ndiyo hiyo haikuzima. Kujaribu kukata kushoto ikawa ngumu. Kama kawaida sikulazimisha nikarejesha kwenye nyumba yake. Nini kifanyike?
Asante ni Landcruiser mkuuNi,gari gani,kwanza?
Badili oil ya dif kwanza/transfer case kama imechoka. Kama haijachoka basi tia tu mashine ya Diagnosis.
okayyyyAsante ni Landcruiser mkuu
USA, lakini haya mambo unaweza kufanya popote.Unaishi nchi gani?.
Nilishangaa kabla ya kuwasha break ilikuwa loose! Nikapump ikajaa, nilipowasha ndiyo hiyo haikuzima. Kujaribu kukata kushoto ikawa ngumu. Kama kawaida sikulazimisha nikarejesha kwenye nyumba yake. Nini kifanyike?
Niliibonyeza lakini hola bado inawaka tuMkuu zima switch ya central lock ya 4WD
Hapo fanya diagnosis tuu, naona model ya UK hiyoNiliibonyeza lakini hola bado inawaka tu
Mkuu Castrol waliingia mkataba wa marketing na BMW kuwapa promo. Mkataba umeisha, sasa hivi huwezi kuta BMW mpya imeandikwa castrol, cha msingi cheki specs tuu, mfano N52B25 inakubali BMW LL-01: 0W-30, 5W30, 0W-40, 5W-40, depending na mazingira. Kwa bongo 5W-40 itapunguza leakage nyingi sana. Brands depends choice yako, kama Liqui molly, Mobil, BMW Oil, Shell, Total, Atlantic, Castrol, Puma, etc. Binafsi natumia Atlantic Oil, haijawahi niletea changamoto kwenye gari zote.Sijui chochote kuhusu Oils za Atlantic ila BMW najua inataka Castrol na kwenye mfuniko wa engine Oil wamendika.
Njoo dukani kwetu upate iliyokuwa recommended by the manufacturer.Oil gani hizo mkuu ebu nitajie, pengine Mimi natumia ambayo sio sahihi
Mkuu naomba nitumie na mimi namba ya admin inbox. Asante.OBD II Scanner ni kale kamashine ka kukuambia matatizo mbalimbali ya gari ata kabla taa ya njano haijawaka kwenye dashboard yako.
Unaweza ukanunua au ukawa unaenda kupima.
Kwa kuanza nakushauri anza kwenda kupima kwa mtu mfano JituMirabaMinne anakupa full report. Maana inakupa summary sana.
Kuhusu namba 4, nakutumia namba za admins inbox.
View attachment 2453685
Ni sahihiHapo fanya diagnosis tuu, naona model ya UK hiyo
Ukitegemea dashboard iko siku utakaanga injini. Hata ndege inachekiwa nje.Tuongee uhalisia kidogo, wewe unafanya haya Kila siku?
Kwa upande wangu mimi sifanyi hayo kila siku kutokana na mazingira yenyewe hasa hiyo ya kulala chini sijui kuangalia chini, na kuhusu vitu vingine Gari inanionesha Kila Kitu kwenye Dashboard Sasa Kuna haja gani ya kufungua Bonnet
Ukitegemea dashboard iko siku utakaanga injini. Hata ndege inachekiwa nje.
Boss ngoja tufanye namna tununue ya kutosha ikae ndani..Mkuu Mannol zimeingia town. Jamaa wamemnyoosha kuanzia filter mpaka oil. Atlantic Lita moja 15k-20k tu.
Kuna baadhi ya vitu inabidi mmiliki ujiongeze. Mimi gari yangu mambo ya oil nafanya mwenyewe tu napoza elfu 10 kwa ajili ya spana na kupandisha gari juu..Bila shaka ni yule wa karibu na HK Hospital! Yaani hawa jamaa ukienda na vitu vyako, wananuna!
Nishasema humu, kama una Euro make, inabidi ujiongeze haswa kwa suala la kuijua gari yako, nini inataka na wapi utapata vifaa na lubricants. La sivyo utageuzwa gari la mshahara!
Mkuu Castrol waliingia mkataba wa marketing na BMW kuwapa promo. Mkataba umeisha, sasa hivi huwezi kuta BMW mpya imeandikwa castrol, cha msingi cheki specs tuu, mfano N52B25 inakubali BMW LL-01: 0W-30, 5W30, 0W-40, 5W-40, depending na mazingira. Kwa bongo 5W-40 itapunguza leakage nyingi sana. Brands depends choice yako, kama Liqui molly, Mobil, BMW Oil, Shell, Total, Atlantic, Castrol, Puma, etc. Binafsi natumia Atlantic Oil, haijawahi niletea changamoto kwenye gari zote.
Kuna tatizo saana kwenye kuchagua oil sahihi kwa magari used. Mara nyingi kwa gari kama lako, oil recommended inakuwa yenye "viscosity" ndogo. Ila shida iliyopo ni kujua kama mtumiaji wa mwanzo alikuwa anatumia oil ya hivyo ama la.Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto
Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza naenda safari ndefu na hii gari
Wakati naenda muda wa kulifanyia service ulikuwa Bado haujafika zilibaki kama kilometers 1,200 plus nikaenda Dom nikarudi zikabaki kama kilometers 200+ ili zitimie kilometers 3,000 muda wa kufanya service ufike
Sasa Wakati narudi nilivyofika mbezi Taa ya Engine oil ikaniwakia (yellow) nikafika nyumbani, jana nikalipeleka Mikocheni kwa lengo la kuongezwa oil
Mikocheni Coca-cola Garage ya Atlantic lakini nilivyofika jamaa wakanambia kabla ya kuongeza oil itabidi walicheki kwanza kama kuna leakage wakacheki hawajakuta leakage yoyote ila wakanambia itabidi walifanyie Service kabisa maana oil wameikuta ni nzito tofauti na inavyotakiwa (nikakubali)
Waka change Oil na Oil filter Gari ikakaa sawa, nikapewa invoice total ikaja Tsh 483,800,
Ile Quotation Iko hivi
Oil 8 liters 350,000
Filter 60,000
Subtotal = 410,000/=
Vat 18% 73,800
Total = 483,000/=
Swali langu ni kwamba ukilifanyia Gari service na haina leakage yoyote Oil inatoboa hadi next Service au hapa katikati inabidi uiongezee?
Na je kwa situation yangu ya jana ni kweli ilibidi gari lifanyiwe Service au walivutia upande wao wa kibiashara, Wajuzi naombeni mshee experience zenu
View attachment 2453442