Ushauri: Nampenda lakini sijui niendelee kumtongoza au niache

Ushauri: Nampenda lakini sijui niendelee kumtongoza au niache

Hiv dem akikujibu ' ninamtu wangu '

Kikanuni za kibaharia, unatakiwa ufanyaje. Udelete namb ama uwe msumbufu tu

Binafsi huwa nadelete namba. Nasonga mbelee
Unakomaa hvyo hvyo, kuna wengine huwa wanakupima msimamo na usiriaz wako.
 
me nipo hapa nyamalango so kama upo hapo chuo njoo nikupe maushauri chap kuandika nimechoka naona uvivu nimetoka kwenye test. .
 
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana

Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie kumwelekeza tumefikia wapi sikuwa na lengo baya.

Sasa nilivomaliza kumsaidia basi nikaendelea kusikiliza orientation na sikuwa na mpango na huyo dada lakini cha ajabu mara baada ya kumsaidia yule Dada akaanza kuniuliza uliza maswali sasa mimi nikaona sio mbaya kumjibu, basi tukapga piga story bas lakini sikuwa na mpango na uyo dada basi orientation ilivoisha nikaondoka zangu na hata sikumwomba hata namba kwasababu nilikuwa siamini kama nikimtongoza atakubali na tukapotezana na maish yakasonga.

Lakini baada ya wiki kama mbili ivi nikiw nasoma soma yule Dada alinifata nikapiga naye story ila kwakuwa nilikuwa sina imani na wanawake basi sikumwomba hata namba na tulivoagana basi kila MTU akaendelea na mishe. Sas baada ya kama wiki moja yule mdada alinitafuta tena na tukaongea kidog bas ila kumbe yule Dada tulikuwa tunasoma nae coz moja nilikuja kujua baadaye.

Lakini sikuwa na mpango naye ila tukiwa darasani nilikuwa namchek kisirisiri nikagundua kwamba alikuwa ananiangalia kisirisiri sana na akigundua kwamba namwangalia basi alikuwa kama anashtuka na kuamgalia pembeni basi nikawi simwelewi kabisa ila nikakaza moyo nikaenderea na maisha japo nilikuw nampenda penda na mimi lakin nikaw najikaz kwasababu naogopa kupenda sas iyo tabia ya mdada kuniangalia angali a kisiri siri ikawa inaenderea basi ila hatukuw na urafiki wowote na sikuwai kumsemesha.

Ila nilikuwa nampend lakini najikaza kwasababu nilikuwa naogopa kumtongoza mana nazani kama ningemtongoza basi ningezidi kumpenda zaidi sasa baada ya miezi miwili nikiwa nimetulia zangu sina hili wala lile gafla yule mdada alinifata nakunisalimia tena sasa nikapiga piga nae story lakini kabla ajaondoka akanambia atanitafuta so kwavile kauli nikaona sio mbaya nimwombe namba nilivomwomba namba akanipa ila tatizo la yule mdada alikuw hajib SMS kwa wakati.

So nilivyoona hivo ikabid nifute namba na nisimtafute lakini kila nikiwa chuo yule Dada akiniona basi nilazima aje kunisalimia so kiukweli kutokana na iyo situation nikajikuta naanza kumpend sana na nikijitaidi kumkwepa aipite wiki lazima anichek kunipa salam Mara ananambia nimfundishe so mimi kiukweli nikawa simwelewi kabisa uyo dem na kila nikijitaidi kumkwepa lazima atanitafuta tu basi ndo na mm nikajikuta nazid kumpend sana kutokana na yeye kuzid kunitafuta tafut na kunisalimia.

Sasa nikaona hapa hamna jinsi inabid likizo nimtongoze labda n Banat yangu sas wakat nipo likizo hii ya corona ndo nikamtafuta na kumtongoza laikn demu kachomoa kabisa lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman ila kwa sababu alikataa nikaona na mim nikaushe sas imepita wiki mbili cjamchek na wala yey hajanichek.

Lakini naumia sana sas NAOMBEN USHAURI IV KUTOKANA NA IYO SITUATION JE NIENDEREE KUMTONGOZA AU NIKAUSHIE MANA SIEREW CJUI ANANIPIMA IMANI AU NDO KANIKATAA JAMAN NAOMBEN USHAUR NATESEKA SANA
Wakati nipo chuo, niliamua kuishi a hardcore life, sikuwa na shobo na manzi yoyote hata kama alikuwa kanizoea vipi, na hii ilifanya niishi Kwa Amani Sana. Take care of your movements, usije shindwa kuingia darasani bure
 
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana

Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie kumwelekeza tumefikia wapi sikuwa na lengo baya.

Sasa nilivomaliza kumsaidia basi nikaendelea kusikiliza orientation na sikuwa na mpango na huyo dada lakini cha ajabu mara baada ya kumsaidia yule Dada akaanza kuniuliza uliza maswali sasa mimi nikaona sio mbaya kumjibu, basi tukapga piga story bas lakini sikuwa na mpango na uyo dada basi orientation ilivoisha nikaondoka zangu na hata sikumwomba hata namba kwasababu nilikuwa siamini kama nikimtongoza atakubali na tukapotezana na maish yakasonga.

Lakini baada ya wiki kama mbili ivi nikiw nasoma soma yule Dada alinifata nikapiga naye story ila kwakuwa nilikuwa sina imani na wanawake basi sikumwomba hata namba na tulivoagana basi kila MTU akaendelea na mishe. Sas baada ya kama wiki moja yule mdada alinitafuta tena na tukaongea kidog bas ila kumbe yule Dada tulikuwa tunasoma nae coz moja nilikuja kujua baadaye.

Lakini sikuwa na mpango naye ila tukiwa darasani nilikuwa namchek kisirisiri nikagundua kwamba alikuwa ananiangalia kisirisiri sana na akigundua kwamba namwangalia basi alikuwa kama anashtuka na kuamgalia pembeni basi nikawi simwelewi kabisa ila nikakaza moyo nikaenderea na maisha japo nilikuw nampenda penda na mimi lakin nikaw najikaz kwasababu naogopa kupenda sas iyo tabia ya mdada kuniangalia angali a kisiri siri ikawa inaenderea basi ila hatukuw na urafiki wowote na sikuwai kumsemesha.

Ila nilikuwa nampend lakini najikaza kwasababu nilikuwa naogopa kumtongoza mana nazani kama ningemtongoza basi ningezidi kumpenda zaidi sasa baada ya miezi miwili nikiwa nimetulia zangu sina hili wala lile gafla yule mdada alinifata nakunisalimia tena sasa nikapiga piga nae story lakini kabla ajaondoka akanambia atanitafuta so kwavile kauli nikaona sio mbaya nimwombe namba nilivomwomba namba akanipa ila tatizo la yule mdada alikuw hajib SMS kwa wakati.

So nilivyoona hivo ikabid nifute namba na nisimtafute lakini kila nikiwa chuo yule Dada akiniona basi nilazima aje kunisalimia so kiukweli kutokana na iyo situation nikajikuta naanza kumpend sana na nikijitaidi kumkwepa aipite wiki lazima anichek kunipa salam Mara ananambia nimfundishe so mimi kiukweli nikawa simwelewi kabisa uyo dem na kila nikijitaidi kumkwepa lazima atanitafuta tu basi ndo na mm nikajikuta nazid kumpend sana kutokana na yeye kuzid kunitafuta tafut na kunisalimia.

Sasa nikaona hapa hamna jinsi inabid likizo nimtongoze labda n Banat yangu sas wakat nipo likizo hii ya corona ndo nikamtafuta na kumtongoza laikn demu kachomoa kabisa lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman ila kwa sababu alikataa nikaona na mim nikaushe sas imepita wiki mbili cjamchek na wala yey hajanichek.

Lakini naumia sana sas NAOMBEN USHAURI IV KUTOKANA NA IYO SITUATION JE NIENDEREE KUMTONGOZA AU NIKAUSHIE MANA SIEREW CJUI ANANIPIMA IMANI AU NDO KANIKATAA JAMAN NAOMBEN USHAUR NATESEKA SANA
rekebisha kwanza matamshi wenda ikawa anakukataa kwasababu ya kuchanganya herufi kwenye L unaweka R na R unaweka L kama kuelewa we unaandika kuerew tena himalizii

ni hayo kingine kama unampenda komaa nae mwanaume hakati tamaa
 
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana

Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie kumwelekeza tumefikia wapi sikuwa na lengo baya.

Sasa nilivomaliza kumsaidia basi nikaendelea kusikiliza orientation na sikuwa na mpango na huyo dada lakini cha ajabu mara baada ya kumsaidia yule Dada akaanza kuniuliza uliza maswali sasa mimi nikaona sio mbaya kumjibu, basi tukapga piga story bas lakini sikuwa na mpango na uyo dada basi orientation ilivoisha nikaondoka zangu na hata sikumwomba hata namba kwasababu nilikuwa siamini kama nikimtongoza atakubali na tukapotezana na maish yakasonga.

Lakini baada ya wiki kama mbili ivi nikiw nasoma soma yule Dada alinifata nikapiga naye story ila kwakuwa nilikuwa sina imani na wanawake basi sikumwomba hata namba na tulivoagana basi kila MTU akaendelea na mishe. Sas baada ya kama wiki moja yule mdada alinitafuta tena na tukaongea kidog bas ila kumbe yule Dada tulikuwa tunasoma nae coz moja nilikuja kujua baadaye.

Lakini sikuwa na mpango naye ila tukiwa darasani nilikuwa namchek kisirisiri nikagundua kwamba alikuwa ananiangalia kisirisiri sana na akigundua kwamba namwangalia basi alikuwa kama anashtuka na kuamgalia pembeni basi nikawi simwelewi kabisa ila nikakaza moyo nikaenderea na maisha japo nilikuw nampenda penda na mimi lakin nikaw najikaz kwasababu naogopa kupenda sas iyo tabia ya mdada kuniangalia angali a kisiri siri ikawa inaenderea basi ila hatukuw na urafiki wowote na sikuwai kumsemesha.

Ila nilikuwa nampend lakini najikaza kwasababu nilikuwa naogopa kumtongoza mana nazani kama ningemtongoza basi ningezidi kumpenda zaidi sasa baada ya miezi miwili nikiwa nimetulia zangu sina hili wala lile gafla yule mdada alinifata nakunisalimia tena sasa nikapiga piga nae story lakini kabla ajaondoka akanambia atanitafuta so kwavile kauli nikaona sio mbaya nimwombe namba nilivomwomba namba akanipa ila tatizo la yule mdada alikuw hajib SMS kwa wakati.

So nilivyoona hivo ikabid nifute namba na nisimtafute lakini kila nikiwa chuo yule Dada akiniona basi nilazima aje kunisalimia so kiukweli kutokana na iyo situation nikajikuta naanza kumpend sana na nikijitaidi kumkwepa aipite wiki lazima anichek kunipa salam Mara ananambia nimfundishe so mimi kiukweli nikawa simwelewi kabisa uyo dem na kila nikijitaidi kumkwepa lazima atanitafuta tu basi ndo na mm nikajikuta nazid kumpend sana kutokana na yeye kuzid kunitafuta tafut na kunisalimia.

Sasa nikaona hapa hamna jinsi inabid likizo nimtongoze labda n Banat yangu sas wakat nipo likizo hii ya corona ndo nikamtafuta na kumtongoza laikn demu kachomoa kabisa lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman ila kwa sababu alikataa nikaona na mim nikaushe sas imepita wiki mbili cjamchek na wala yey hajanichek.

Lakini naumia sana sas NAOMBEN USHAURI IV KUTOKANA NA IYO SITUATION JE NIENDEREE KUMTONGOZA AU NIKAUSHIE MANA SIEREW CJUI ANANIPIMA IMANI AU NDO KANIKATAA JAMAN NAOMBEN USHAUR NATESEKA SANA
Sio Kila msichana anayekuwa karibu na mwanaume anataka mahusiano mwingine labda anaona Kuna kitu kizuri toka kwako. Labda ni mshauri mzuri, au unaweza msaidia Mambo ya masomo n.k

Tatizo wanaume tunapenda kuchulia ukaribu ni nafasi ya kuanzisha mahusiano, haiko hivyo.

Cha muhimu muelewe msichana na uishi naye alivyo.
 
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana

Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie kumwelekeza tumefikia wapi sikuwa na lengo baya.

Sasa nilivomaliza kumsaidia basi nikaendelea kusikiliza orientation na sikuwa na mpango na huyo dada lakini cha ajabu mara baada ya kumsaidia yule Dada akaanza kuniuliza uliza maswali sasa mimi nikaona sio mbaya kumjibu, basi tukapga piga story bas lakini sikuwa na mpango na uyo dada basi orientation ilivoisha nikaondoka zangu na hata sikumwomba hata namba kwasababu nilikuwa siamini kama nikimtongoza atakubali na tukapotezana na maish yakasonga.

Lakini baada ya wiki kama mbili ivi nikiw nasoma soma yule Dada alinifata nikapiga naye story ila kwakuwa nilikuwa sina imani na wanawake basi sikumwomba hata namba na tulivoagana basi kila MTU akaendelea na mishe. Sas baada ya kama wiki moja yule mdada alinitafuta tena na tukaongea kidog bas ila kumbe yule Dada tulikuwa tunasoma nae coz moja nilikuja kujua baadaye.

Lakini sikuwa na mpango naye ila tukiwa darasani nilikuwa namchek kisirisiri nikagundua kwamba alikuwa ananiangalia kisirisiri sana na akigundua kwamba namwangalia basi alikuwa kama anashtuka na kuamgalia pembeni basi nikawi simwelewi kabisa ila nikakaza moyo nikaenderea na maisha japo nilikuw nampenda penda na mimi lakin nikaw najikaz kwasababu naogopa kupenda sas iyo tabia ya mdada kuniangalia angali a kisiri siri ikawa inaenderea basi ila hatukuw na urafiki wowote na sikuwai kumsemesha.

Ila nilikuwa nampend lakini najikaza kwasababu nilikuwa naogopa kumtongoza mana nazani kama ningemtongoza basi ningezidi kumpenda zaidi sasa baada ya miezi miwili nikiwa nimetulia zangu sina hili wala lile gafla yule mdada alinifata nakunisalimia tena sasa nikapiga piga nae story lakini kabla ajaondoka akanambia atanitafuta so kwavile kauli nikaona sio mbaya nimwombe namba nilivomwomba namba akanipa ila tatizo la yule mdada alikuw hajib SMS kwa wakati.

So nilivyoona hivo ikabid nifute namba na nisimtafute lakini kila nikiwa chuo yule Dada akiniona basi nilazima aje kunisalimia so kiukweli kutokana na iyo situation nikajikuta naanza kumpend sana na nikijitaidi kumkwepa aipite wiki lazima anichek kunipa salam Mara ananambia nimfundishe so mimi kiukweli nikawa simwelewi kabisa uyo dem na kila nikijitaidi kumkwepa lazima atanitafuta tu basi ndo na mm nikajikuta nazid kumpend sana kutokana na yeye kuzid kunitafuta tafut na kunisalimia.

Sasa nikaona hapa hamna jinsi inabid likizo nimtongoze labda n Banat yangu sas wakat nipo likizo hii ya corona ndo nikamtafuta na kumtongoza laikn demu kachomoa kabisa lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman ila kwa sababu alikataa nikaona na mim nikaushe sas imepita wiki mbili cjamchek na wala yey hajanichek.

Lakini naumia sana sas NAOMBEN USHAURI IV KUTOKANA NA IYO SITUATION JE NIENDEREE KUMTONGOZA AU NIKAUSHIE MANA SIEREW CJUI ANANIPIMA IMANI AU NDO KANIKATAA JAMAN NAOMBEN USHAUR NATESEKA SANA
Nisikize kwa umakini sana
1. Either huyu dada ana gonjwa moja sugu sana ana crush na wewe ila sasa pengine anahofia atakuambukiza kitu ambacho anagopa baadae atafeel guilty.

2. She is playing hard to get, we women are like that sometimes....we just like those games it's kinda fun. So whatever you trying to do...you got play it safe...bado unasoma and your family needs you

3. Basi tu maybe just maybe she is just another bitch who doesn't know what exactly she wants[emoji2368]

4. Maybe bado hajajua kama anakupenda ama la so anasikilizia hisia zake zinampeleka wapi anausikiliza moyo wake kwanza...akishahisi anakupenda we mwenyewe utaona ataanza ku respond vizuri hata sms zako on time.

5. Be careful Mkuu....

Sent from my SM-S9 using JamiiForums mobile app
 
Mie nimesoma hio heading tuu .. mzee aitha tumia pesa au tongoza kwa show ya jushtukiza ... wana masikio matatu hawa. Kama yale mawili hayasikii jaribu la tatu!
 
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana

Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie kumwelekeza tumefikia wapi sikuwa na lengo baya.

Sasa nilivomaliza kumsaidia basi nikaendelea kusikiliza orientation na sikuwa na mpango na huyo dada lakini cha ajabu mara baada ya kumsaidia yule Dada akaanza kuniuliza uliza maswali sasa mimi nikaona sio mbaya kumjibu, basi tukapga piga story bas lakini sikuwa na mpango na uyo dada basi orientation ilivoisha nikaondoka zangu na hata sikumwomba hata namba kwasababu nilikuwa siamini kama nikimtongoza atakubali na tukapotezana na maish yakasonga.

Lakini baada ya wiki kama mbili ivi nikiw nasoma soma yule Dada alinifata nikapiga naye story ila kwakuwa nilikuwa sina imani na wanawake basi sikumwomba hata namba na tulivoagana basi kila MTU akaendelea na mishe. Sas baada ya kama wiki moja yule mdada alinitafuta tena na tukaongea kidog bas ila kumbe yule Dada tulikuwa tunasoma nae coz moja nilikuja kujua baadaye.

Lakini sikuwa na mpango naye ila tukiwa darasani nilikuwa namchek kisirisiri nikagundua kwamba alikuwa ananiangalia kisirisiri sana na akigundua kwamba namwangalia basi alikuwa kama anashtuka na kuamgalia pembeni basi nikawi simwelewi kabisa ila nikakaza moyo nikaenderea na maisha japo nilikuw nampenda penda na mimi lakin nikaw najikaz kwasababu naogopa kupenda sas iyo tabia ya mdada kuniangalia angali a kisiri siri ikawa inaenderea basi ila hatukuw na urafiki wowote na sikuwai kumsemesha.

Ila nilikuwa nampend lakini najikaza kwasababu nilikuwa naogopa kumtongoza mana nazani kama ningemtongoza basi ningezidi kumpenda zaidi sasa baada ya miezi miwili nikiwa nimetulia zangu sina hili wala lile gafla yule mdada alinifata nakunisalimia tena sasa nikapiga piga nae story lakini kabla ajaondoka akanambia atanitafuta so kwavile kauli nikaona sio mbaya nimwombe namba nilivomwomba namba akanipa ila tatizo la yule mdada alikuw hajib SMS kwa wakati.

So nilivyoona hivo ikabid nifute namba na nisimtafute lakini kila nikiwa chuo yule Dada akiniona basi nilazima aje kunisalimia so kiukweli kutokana na iyo situation nikajikuta naanza kumpend sana na nikijitaidi kumkwepa aipite wiki lazima anichek kunipa salam Mara ananambia nimfundishe so mimi kiukweli nikawa simwelewi kabisa uyo dem na kila nikijitaidi kumkwepa lazima atanitafuta tu basi ndo na mm nikajikuta nazid kumpend sana kutokana na yeye kuzid kunitafuta tafut na kunisalimia.

Sasa nikaona hapa hamna jinsi inabid likizo nimtongoze labda n Banat yangu sas wakat nipo likizo hii ya corona ndo nikamtafuta na kumtongoza laikn demu kachomoa kabisa lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman ila kwa sababu alikataa nikaona na mim nikaushe sas imepita wiki mbili cjamchek na wala yey hajanichek.

Lakini naumia sana sas NAOMBEN USHAURI IV KUTOKANA NA IYO SITUATION JE NIENDEREE KUMTONGOZA AU NIKAUSHIE MANA SIEREW CJUI ANANIPIMA IMANI AU NDO KANIKATAA JAMAN NAOMBEN USHAUR NATESEKA SANA
Pumbavu
 
Back
Top Bottom