John kirua
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 140
- 107
Hiv ni kwanini mwanamke umehamua kuishi nae wote mnafanya kazi
Lakini anakutegemea kila kitu ndani basi nimenunua mwanaume kila kitu ndani bado ni mtihani hata kama sabuni imeisha anaitaji utoe ela yako wakati vitu vidogo kama ivyo anauwezo wa kufanya
Unamuliza ela zake anapeleka wapi anajibu anapeleka kwenye vikoba na michezo kwahiyo hana ela
Kuna faida gani ya kuwa na mwanamke amabaye hana faida ndani ya nyuma wakati maisha ni kusupport na wote mnafanya kazi
Inaumiza kichwa sanaa na inafikilisha 7bu hata basi vitu vimetununuliwa ndani issue ya kubajet hawezi najua pesa mwanaume ipo always
Aisee sio poaw ambao mpo kwenye mahusiano au ndoa mnawezaje situation hii...
Lakini anakutegemea kila kitu ndani basi nimenunua mwanaume kila kitu ndani bado ni mtihani hata kama sabuni imeisha anaitaji utoe ela yako wakati vitu vidogo kama ivyo anauwezo wa kufanya
Unamuliza ela zake anapeleka wapi anajibu anapeleka kwenye vikoba na michezo kwahiyo hana ela
Kuna faida gani ya kuwa na mwanamke amabaye hana faida ndani ya nyuma wakati maisha ni kusupport na wote mnafanya kazi
Inaumiza kichwa sanaa na inafikilisha 7bu hata basi vitu vimetununuliwa ndani issue ya kubajet hawezi najua pesa mwanaume ipo always
Aisee sio poaw ambao mpo kwenye mahusiano au ndoa mnawezaje situation hii...