Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Miss you more Pond!![emoji8]Dah! Nmekumiss[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss you more Pond!![emoji8]Dah! Nmekumiss[emoji4]
aoonekana bado uko under 30 nimeangalia convo zenu wote bado mnapenda,plus kaushamba fulani...basi tafuraniUnaongea utadhani unanifahamu 🤣🤣🤣
Kwa sababu ya sisi kufanya madhambi huwa tunapewa mitihani hiyo kwa lengo la kutuzindua na kujua wapi tumekosea. Ndiyo maana nikasema unatakiwa urekebishe ulipokosea sababu sisi ni wakosefu. Kisha ufanye zuri au mazuri.Kuwa muislam
Kuwa muislam haimaniishi mtu hafanyadhambi ndio maana Kuna makosa kuna kutubia pia na na hakuna dini iliyohararisha zinaa ila sie wote vijana makosa hayakosekani
🤣🤣🤣🤣Hapo mwisho nimependa sanaKama hutak awe anakutumia msg mwambie upo kwenye mahusiano mengine na izo msg anazokutumia zinamtia was was na kumkwaza mtu wako hivyo ache kutuma msg asijekuharib mahusiano yako kuacha kwake kutuma msg kutakupelekea ww kumove on kwa urahic kbs ikishindikan ivo nipe no zake nimpe mkwala kuwa aache kbs kukusumbua mke wng 😀
Hujanielewa..kwaheriKwani kupenda ni dhambi kwaiyo nikiwa under 30 siruhusiw kuwa jf
Madam Mahondaw is back on businessNi upuuzi uliotukuka!!
Yani kuna watu ni majasiri sana!Kwanza nguvu inatoka wapi wa kumrudia x Yan unaanzaje kwanza 😂
" Plus kaushamba fulani " hili neno hukuwa na haja ya kuliweka,umeshauri kidharau,umevuka mstari wa ustaarabuUna
aoonekana bado uko under 30 nimeangalia convo zenu wote bado mnapenda,plus kaushamba fulani...basi tafurani
Thanks ndugu nafikir yataisha nimeamua na nimedhamiria hiz situation za kunitafuta Tafuta ndo zinanirudisha nyuma nafikir yatapita tu maisha yataendeleaYani kuna watu ni majasiri sana!
Huyo anajua unampenda sana na usipojisimamia atakuchanganya mpaka basi!!
Wewe hataki kukuacha ukute nahuyo mwingine nae hataki muachia ni anawavuruga tu huo uislam kisingizio tu!
Ifike wakati ujisimamie mamy tafuta marafiki wa kukuweka bize go out with them kua bize na shughuli zakooo usipate muda mwingi wa kuwa iddle
Kwa kipindi hiki usifanye maamuzi ya haraka jwani akili sio yako Saivi.. take time relaxxxx kwanza hizo stress zako ziishe kabisa utakua kawaida na akili itatulia...... saivi usitafute mwingine kwa lengo lankujipoza unaeza usifanye maamuzi sahihi bali hasira na stress ndio zinakuongoza.
Narudi....🚶🏼♀️
Yes dear with time kila kitu kitakua sawa!! Usipanic wala kutafuta replacement haraka tuliza akili kwanza!!Thanks ndugu nafikir yataisha nimeamua na nimedhamiria hiz situation za kunitafuta Tafuta ndo zinanirudisha nyuma nafikir yatapita tu maisha yataendelea
Shangazi ebu niokote mdogo wako basi, au hata mzabzab 😁😁😁 yaaani mnatuacha tunakufa singleThanks ndugu nafikir yataisha nimeamua na nimedhamiria hiz situation za kunitafuta Tafuta ndo zinanirudisha nyuma nafikir yatapita tu maisha yataendelea
Relax" Plus kaushamba fulani " hili neno hukuwa na haja ya kuliweka,umeshauri kidharau,umevuka mstari wa ustaarabu