Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Amenn Amen!! Mungu ni mwema atamletea mwingine!!Aunt ww ni mrembo na unajua kujistiri utapata mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenn Amen!! Mungu ni mwema atamletea mwingine!!Aunt ww ni mrembo na unajua kujistiri utapata mwingine
Ha ha ha....Mapenzi ya mbali ni utopolo
Ndo maana mnasumbuana Sana30 mwaka huu
Dah! Nmekumiss[emoji4]Lol ngoja nitulie nisome Vizuri dadaa pole jamani!
Kumbe na wewe umeliona hilo.Mtoa mada seems bado anamwelewa jamaa .anatuchosha tu hapa aise..unajibi sms kwann hata kama namba ngeni? Hawa bado wanapendana wanatuzuga hapa
Ah tena jana kuna jamaa alikuwa anakuulizia jamaniAmenn Amen!! Mungu ni mwema atamletea mwingine!!
Kifupi atamzunguka huyo ex wake octber haifiki..sijui wanapata wapi nguvu za kuchat na ma ex...! Ila huenda ni utoto pia ..Kumbe na wewe umeliona hilo.
Huyu mrembo bado anampenda jamaa na anataka kupindua meza hapa anatuchanganya tuu.
Tulishapitia huko so tunajua
Asante Kwa ushauri mzuri lkn suala la kifedha Hilo haliko sahihi ila kiukweli Kwa situation nilomkuta nayo kuniacha moja Kwa moja Kwa mtu mwenye utu coz nimetoka nae mbali sana na hta hapo alipo ni mchango wa mawazo na uvumilivu wangu pia sikuwahi muomba kitu najua Hana uwezo nacho nikiona ninanafasi ya kumshauri kitu asogee sikuwahi kusita kufnya hivo huenda Hilo ndo linamtesa mm Sina ela lakn sio wa kushindwa kujihudumia kula lknpia siwez hudmia mwanaumePole sana bi mkubwa hiyo hali ni ya kawaida sana na mimi sitakupa ushauri wa moja kwa moja ila ntazungumzia vitu vichache nilivyo note na hasa kutokana na screenshot:
1: from the beginning ni wazi kuwa mnapendana sana...we unampenda na yeye anakupenda ndio maana kila mmoja ni kama hayuko tayari kumpotezea mwenzie...
2: ikiwa ndugu zake na yeye mwenyewe still wanakufatilia basi hata wao wanapenda wewe uendelee kuwa karibu na ndugu yao....(hapa sasa kuna reason ambayo wanaijua wao but probably inaweza kuwa financial services maana naona hata screenshot zako ni kama wewe ni financial supporter wao)
3: kama mwanaume anakupenda lakini akaamua kuoa kwa sababu ya umbali and still anakutafuta na haogopi kukutafuta kuliko kumkwaza mke wake mpya.....there is something strange here ...pengine hampendi kama anavyokupenda wewe, pengine alikuwa forced na ndugu, marafiki au jamaa kuwa na huyo mwanamke etc lakini hapa unayeutesa moyo ni WEWE tu wala sio yeye.
Utafanya nini sasa:
Wote ni waislamu (screenshot zinasema) na waislamu kuoa hakuna ukomo mkalishe chini mwambie akuoe uwe mke halali ikiwa uko tayari na yeye atakuwa huru zaidi lakini utakuwa umeuponya moyo wako na nafsi yako itafurahi maana huwezi kubisha unampenda sana kwa nini uishi kwa stress wakati kupendacho moyo kipo
Naogopa hata kama utaingia kwenye mahusiano mapya hutadumu kwa kuwa bado moyo upo huko na hata hisia zipo huko mwanaume utakayekuwa naye atapata little attention hatimaye mtaachana
Ikiwa itaamua kuachana naye mazima basi usitumie nguvu kuubwa kumblock wala kublock ndugu zake...endelea kuchart naye kawaida sana akikutext mjibu kiroho safi akipiga pokea ongea naye vizuri tu na ndugu zake ongea nao au chart nao vizuuri tu wala usioneshe una ugomvi au hasira nao...but wewe weka msimamo wako kuwa umemuacha taratiiibu ukijicondition utazoea na utaweza
Tulia ujilie mapishi na mpishi wake nyau wewe[emoji16][emoji16]!!Baba wa kambo natoka nduki hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Tupo pamoja kwenye mateso au wapi ?Tuko pamoja.
Ah wee unachezea utamu wa de libolo...bidada i aelekea alipelekewa moto vizurri na jamaa so akikumbuka kyupi inalowa. Alafu nyie mnachanganyikiwa sana na mwanaume ambaye anajua kukojozaKifupi atamzunguka huyo ex wake octber haifiki..sijui wanapata wapi nguvu za kuchat na ma ex...! Ila huenda ni utoto pia ..
Sawa nimeelewaSometimes letting go, is the best way to go !
Ex wako sio tu kukuachana Nawewe, bado Hana utayari wa KUOA hata huyo walorudiana naye.
Kilichotokea jamaa anaendelea kua karibu yako Ili aendelee kua na Free K ya pembeni.
Sasa uamuzi ni wako, kuendelea kua kipoozeo? Au lah.
Kuendelea kujizibia nafasi Kwa mtu Fulani anayekuhitaji , au kuruhusu Maisha mapya!
Kuendelea kujizibia nafasi Kwa mtu Fulani anayekuhitaji , au kuruhusu Maisha mapya!
Unasema kakusudia Kwasababu alikiri,Sio bahat mbaya kaka alikusudia
Ni upuuzi uliotukuka!!Kifupi atamzunguka huyo ex wake octber haifiki..sijui wanapata wapi nguvu za kuchat na ma ex...! Ila huenda ni utoto pia ..