Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kha! Miaka mitatu jamaa anajilia mbususu tuu wakati sie wakina mzabzab tukitongoza tunaambulia vibuti.
Mimi nazidi kusema kuna watu ni type A...
Kupendwa wao, kufanikiwa kimaisha wao nk nk


Wengine sie ni wasindikizaji humu duniani...
 
Hujaelewa chat mm sijawahi kuwa tegemez kaka na siujui utegemezi unarangi gani Bali nalea mama na nduguyangu na Sina hata 30+namiliki biashara Nina kazi na kiwanja soma vizuri uelew
Nimesoma chati ulizokua unaandika lakini zinajifhihirisha dhahiri shairi
 
Sasa jaman afu arobaini ni kitu cha kushindwa kumpa mtoto mzuri akuletee utamu jaman
Dah! Nilijua 👇👇👇
images.jpeg
 
Back
Top Bottom