Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hakuna tuzo ya kusex mara kwa mara ujue hilo.🤣🤣🤣🤣
Kujitunza ni jambo jema na litakupa furaha na amani. Endelea utapata thawabu ya kupata mwenza bora tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna tuzo ya kusex mara kwa mara ujue hilo.🤣🤣🤣🤣
Aisee kiukweli tangu huko mwanzo tunapendana sana hta sahiz mtu umwambie tumeachana hawez amini ila uaminifu ni km glass ya kioo kaka ukivunja haiwez kurudi Tena na alikiri kweli lkn Kuna mawil kuwin au kupoteza huwez jua mtu anachowaza n kma hakuna nilichomkwaza maana yake hakuona thamni tu ya upendo ya nn nijifanye kupnda sanaSophy,
Unapaswa kujua kilichosababisha jamaa kukucheat Ni distance, na sio yeye.
(Seems alizidiwa Sana)
Na Hakuna mwanaume utakua mbali eti asikucheat, hiyo haipo.
Solution Ni kuomba uhamisho muwe karibu MDA mwingi,
jamaa yako anakupenda Sana,
Nanupendo wake ulopitiliza umezaa Ujinga akadhani akikiri utamsamehe, kumbe ndo anajikaanga na mafuta yake mwenywe.
Msamehe jamaa muendelee na maisha,
Nmemuonea Sana huruma, ushamba mwingi
So huitunzi tena?🤣🤣🤣🤣Mimi Tena huyu a wap🤣🤣🤣
Tengua kauli bhana,Tatizo litakuwa kashazoea self service [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Olewa wewe acha ujuaji🤣🤣🤣🤣Second wife kwenye ubora wangu 🤣🤣🤣
Mambo ya kuzongania utam hayo na mnayaweza sana nyieSecond wife kwenye ubora wangu 🤣🤣🤣
Umeona eeeh.....kuwa makini😂Second wife kwenye ubora wangu 🤣🤣🤣
Nyooo.....long distance kwanza kabisa sexting ndio kikubwa na kupigishana nyetoTengua kauli bhana,
Maustaadhat hawatumii hizo mambo[emoji4]
Alikuwa na issue zake hela ilikuwa ina flow, kei unaili akipenda, huna uhuru nae anarudi mda anaotaka, nikasema isiwe tabu, nikapotea kimya kimya kuendelea kupambana, karibuni nakutana nae haniambii kitu.. anajilengesha tena wakati nilisha amua kufunga zipu na kuwa kama padriii tuu 🤣🤣🤣🤣 ila ni mateso sana kuwa na mwanamke kakuzidi hela au u busy, utapiga tu nje utake usitake kwa stress utazopata ndanihii bahati sijaipata na naitaka sana
yaani pesa kwake na mbususu kwake ?
maana kwa sasa, nacheza ivi: pesa kwangu, mbususu kwake
Ndo ujue mwanzoni nilikuwa nipo serious kukupa lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikagundua kuwa huyu jamaa ninae deal nae atakuwa hayupo sawa physiological.Wee mwenyewe una somjo tuu mara useme utanipa utam utam, mara oh sitaki mara nitakutafutia mwanasaikolojia
ohoo hapa tatizoanarudi mda anaotaka
Sio nakuombea mabaya....mie nakupa tahadhariSasa ndio unaniombea mabaya tabia mbaya hiyo.